Waziri Mkuu wa Zamani na Mbunge wa Monduli aliye jiuzulu kwa Kashfa ya Ufisadi,Mh Edward Ngoyai Lowassa,ameendeleza ndoto zake za Mchana,kwamba endapo CCM itatekeleza kwa usahihi Maagizo na Maelekezo ya Mkutano Mkuu wa Ccm,basi itakuwa ni rahisi kwa Chama hicho kushinda Uchaguzi ujao bila shida.!
Source: Gazeti la Jambo Leo!
Source: Gazeti la Jambo Leo!