Lowassa agawa tisheti kanisani

Ni vyema siku nyingine uweke taarifa zako sawa ili usijewapotosha wanaosoma juu juu...habari za kusikia bwana!!!!
 
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.

Safi sana EL jitahidi tu tutakuweka kule kunakotakiwa wakati ukifika.
 
inasemekana kuwa kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona lowasa, mkewe rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi imekwisha kanisani monduli. Hii siyo rushwa? Pccb wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na lutheran waligombania tisheti hizo kudhihirisha kuwa wamedanganyika.



uliitaka agawe



condom za kichina uje kuuliza alipitishaje bandarini ama???
 
waheshimiwa kuna mtu ameweka thread yake kulalamika
lowassa amegawa tshirt kanisan na waluther na wakatoliki
kukimbilia kuonyesha njaa zaoa am kufanganyika kwao

Bw UVIVU MWIKO ulitaka agawe CONDOM kanisani???

yawezekana aliombwa kama mgeni rasmi afanye kazi ya kugawa

usimuhukumu maana anayo haki ya kugawa!!!unajua sheria ya rushwa wewe!!!
kama unaijua kaulize vizuurii kwa nini walishindwa kumweka ndani
Lowassa na POORMOND
 
major mkandala Senior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png
Join Date: Sat Mar 2010
Posts: 71
Thanks: 4
Thanked 19 Times in 12 Posts
 
waheshimiwa kuna mtu ameweka thread yake kulalamika
lowassa amegawa tshirt kanisan na waluther na wakatoliki
kukimbilia kuonyesha njaa zaoa am kufanganyika kwao

Bw UVIVU MWIKO ulitaka agawe CONDOM kanisani???

yawezekana aliombwa kama mgeni rasmi afanye kazi ya kugawa

usimuhukumu maana anayo haki ya kugawa!!!unajua sheria ya rushwa wewe!!!
kama unaijua kaulize vizuurii kwa nini walishindwa kumweka ndani
Lowassa na POORMOND

Ningekuwa MOD ningeichomoa hii, haifanani kama imetolewa na great thinker mmoja wapo!
 
Ama kweli ! huyu ni mwanaume wa kweli! Yeye Ubunge kwake ni dilii! Hana dhamira ya kuleta mabadiliko ya maendeleo katika jamii yake ya Kimasai! Kwa nini asiwagawie rubega? Nadhani watanzania wakati umefika kuwa macho na viongozi wetu ambao wanadhani tisheti ndio mahitaji yetu kwa sasa!!!
 
Inasemekana, Inasemekana, Inasemekana. Kwa uhakika ikoje? Poa tu na huko kanisani alienda kusali, kwenye mkutano wa siasai au kusaidia masikini? Na hizo t-shirts zina maneno yakumsifu Mungu au picha ya fisadi mmojawapo? Siasa bwana, siku hizi ni mahali popote!
 
...we cant discuss same thing same people for years...........
Why not......... we learn through events and people... Nyerere, Kwame Nkrumah, Martine Luther, WW1&2, Mandela, Hitler, Lowassa, Slave & Slave trade, Richmond etc........
 
Umeenda sawa koote, lakini hapo kwenye red ndo umekuja kuchemsha!

Lutheran na Katoliki walikutana katika mazingira gani ya Ibada?

Lakini pia na ijulikane EL ni muumini wa kawaida sana wa madhehebu yake, je kila akifanya msaada , hata kiimani, ionekane kana kwamba anatoa rushwa?

Lakini hiki ni kipindi cha kwaresma kwa watu wa madhehebu uliyotaja, na katika kipindi hicho, wakristu wanatakiwa kujinyima na kuwapa wenye uhitaji, huoni kwamba alitimiza hilo?

Pj,
Mweye nia ya kutoa kwa jina la Mungu hana haja ajulikane.
Watoaji wenye Imani ya kweli hutoa kwa siri. Bahati mbaya Lowasa ameshafanana na Fisi kitamaa na tabia hivyo itakuwa vigumu kumwamini!
 
Ishu si EL, kwngu issue ni hii WATZ tumerogwa nini na TSHIRT? au vivazi maana hata mababu zetu waliuza watu utumwani kwa vipande vya nguo, hii ni LAANA si bure
 
Kwa wale waumini wa Lutheran hizi t shirt za 'Imekwisha' hutumika wakati wa Ijumaa Kuu. sio vibaya kwa Mhe. Lowassa kutoa zawadi/sadaka hiyo, pengine aliombwa kutoa msaada who knows? Mnyonge mnyongeni.....
 
Hata kama hakuombwa, jambo jema ninaloliona ni upendo wa lowasa kwa waamini wenzake ktk kipindi hiki cha toba! Mbona kipindi cha ramdhan watu tunaalikana ktk futuru na kadhalika why not kwaresma?

Mh.lowasa songa mbele ndio maisha
 

Pj,
Mweye nia ya kutoa kwa jina la Mungu hana haja ajulikane.
Watoaji wenye Imani ya kweli hutoa kwa siri.
Bahati mbaya Lowasa ameshafanana na Fisi kitamaa na tabia hivyo itakuwa vigumu kumwamini!

sasa kuileta hii habari hapa JF..........ndio kumtangza kwenyewe huko.........!
 
uvivumwiko
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Mon Mar 2010
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

No comment.....
uvivumwiko
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Mon Mar 2010
Posts: 4
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
 
Narekebisha sentensi kama ifuatavyo. Nilisikia kuwa EL aligawa tisheti kwa nyakati tofauti katika makanisa hayo. Mimi sikuwepo kwenye eneo la tukio. Nakubali nimechemsha kutokuiweka sentensi sawa.

Hizi bado ni tetesi hazina uhakika. Tafadhali fanya uchunguzi wa kina ujiridhishe na unalotaka kuandika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom