Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?
Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.
inasemekana kuwa kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona lowasa, mkewe rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi imekwisha kanisani monduli. Hii siyo rushwa? Pccb wanasemaje?
Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na lutheran waligombania tisheti hizo kudhihirisha kuwa wamedanganyika.
Sasa Meja hukuwa na lazima uanzishe thread nyingine. Yangeishia hapa hapa.uliitaka agawe
condom za kichina uje kuuliza alipitishaje bandarini ama???
waheshimiwa kuna mtu ameweka thread yake kulalamika
lowassa amegawa tshirt kanisan na waluther na wakatoliki
kukimbilia kuonyesha njaa zaoa am kufanganyika kwao
Bw UVIVU MWIKO ulitaka agawe CONDOM kanisani???
yawezekana aliombwa kama mgeni rasmi afanye kazi ya kugawa
usimuhukumu maana anayo haki ya kugawa!!!unajua sheria ya rushwa wewe!!!
kama unaijua kaulize vizuurii kwa nini walishindwa kumweka ndani
Lowassa na POORMOND
uliitaka agawe
condom za kichina uje kuuliza alipitishaje bandarini ama???
Why not......... we learn through events and people... Nyerere, Kwame Nkrumah, Martine Luther, WW1&2, Mandela, Hitler, Lowassa, Slave & Slave trade, Richmond etc...........we cant discuss same thing same people for years...........
Umeenda sawa koote, lakini hapo kwenye red ndo umekuja kuchemsha!
Lutheran na Katoliki walikutana katika mazingira gani ya Ibada?
Lakini pia na ijulikane EL ni muumini wa kawaida sana wa madhehebu yake, je kila akifanya msaada , hata kiimani, ionekane kana kwamba anatoa rushwa?
Lakini hiki ni kipindi cha kwaresma kwa watu wa madhehebu uliyotaja, na katika kipindi hicho, wakristu wanatakiwa kujinyima na kuwapa wenye uhitaji, huoni kwamba alitimiza hilo?
Pj,
Mweye nia ya kutoa kwa jina la Mungu hana haja ajulikane.
Watoaji wenye Imani ya kweli hutoa kwa siri. Bahati mbaya Lowasa ameshafanana na Fisi kitamaa na tabia hivyo itakuwa vigumu kumwamini!
uvivumwikouvivumwiko
Junior Member
Join Date: Mon Mar 2010
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
No comment.....
Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.
Narekebisha sentensi kama ifuatavyo. Nilisikia kuwa EL aligawa tisheti kwa nyakati tofauti katika makanisa hayo. Mimi sikuwepo kwenye eneo la tukio. Nakubali nimechemsha kutokuiweka sentensi sawa.
sasa kuileta hii habari hapa JF..........ndio kumtangza kwenyewe huko.........!