Lowassa afunika dar


China ipi,? Ile yenye lilie kundi ovu la YAKUZA,ambao ni twin brothers na redbrigade
 

Nyi wabongo akili zenu ni makalio., huyu mtu ananuka rushwa na ufisadi., sakata la richmond lakin asiyesikia la mkuu huvunjika guu., mpeni urais muone
 
China ipi,? Ile yenye lilie kundi ovu la YAKUZA,ambao ni twin brothers na redbrigade
China kaka. Kule ukikamatwa hata na dawa ya kulevya, kifo ndo adhabu. Sasa iweje uibie taifa lako na kuliingiza gizani? Kujiuzuru tu haitoshi. Wanakunyonga!
 
Lowasa ni maarufu kuliko chama cha magamba a.k.a maccm.akiondoka na chama kinakufa.chezea mamvi
 
Watu wote wangejadiri topic kama wewe nchi yetu ingekuwa mbali sana. Asante sana!
 
Asante Michael kwa uchambuzi
 
Mkuu vipi kuhusu Richmond? au ndio imeshasahaulika tena ule mkataba wa kifisadi uliokuwa engineered na Mh.
 

sana haya yote uliyo yaandka unaonekana una wivu,rejea kweny kumbukumbu wakat mwingne ukae na wazaz wako watakuambia vizur mambo mazuri ya kimaendeleo aliyoyafnyia nchi,tatzo ni umekurupuka
 

tatizo la baadhi ya watanzania wanapenda kusikia ubaya wa mtu zaidi! Na ndo maana ukimwita mtu mwizi watu wanaanza kumshambulia bila kuuliza kaiba nini!
Ni ukweli kwmb lowasa anakubalika sio kwa sababu ya pesa alizo nazo bali ni kwa sababu ya uwezo wake wa kutumia kipaji alicho nacho kuwa karibu na jamii. Mimi binafsi bado natafakari hivi hao wengne wanaotajwa kuwa na uwezo wa kugombea mbona hawaonekani kuisaidia jamii tena wngne wako madarakani km mawaziri.? Watanzania wanahitaji watu wakuwaongoza katika kutatua kero zao. Mfano tajiri km bowe anashindwa kufanya harambee za kimaendeleo badala ya kuitisha maandamano na tukamkubali?!
 
Mkuu vipi kuhusu Richmond? au ndio imeshasahaulika tena ule mkataba wa kifisadi uliokuwa engineered na Mh.

hilo zigo la bwana mkubwa!!nakushangaa unauliza maswali marahisi kiasi hicho!!!hta kama hujui kusoma hata kusoma picha inakushinda?watanzania wanamsubir wampe nchi Lowassa,manake babu mwenyew ameshapoteza uelekeo,kama ndio huyo amekuja na sera za gonga unategemea nn
 
Una macho lakini u kipofu. Nina maswali machache kwako, hivi ukaribu na jamii ulikuwa wapi wakati anasign deal ya Richmond? Hizo harambee mbona zimeanza sasa hivi na yeye amekuwa serikalini toka mwanzo? Unatatua matatizo ya watanzania kwa harambee? Ni lini ataitisha harambee ya kurudisha hela ya watanzania hasa ya deal ya Richmond?
Ndugu yangu, tatizo la nchi yetu si kwamba hatuna harambee za kutosha au matajiri hawachangi. Tatizo ni viongozi wachache, Lowassa akiwemo wameliibia taifa na hivyo tumebaki maskini. Sasa wanakuja na hela yetu hiyohiyo kama kutukomboa (harambee). Wanategemea watu kama wewe...wasiojielewa kuwapa support. Warudishe hela za Richmond, madini na waache kuwapa madawa vijana wetu hili wawauzie nje. Nakuhakikishia wakifanya hivyo, hatutahitaji harambee hata moja.
 
ujembe wake ni kuwanunulia wote t-shirt? kwa hela za wizi

sasa kama mnakula hata hela ya ruzuku mnashindwa kuwanunulia boda boda,mnategemea nn?ina maana kwamba hata mkipewa nchi bado tu,hamtawasaidia,afadhali ya lowassa mwenye moyo wa kutoa
 

We jamaa usitudanganye lowasa haku sign deal ya richmond..aliwajibika kwa namna mchakato ulivyoendeshwa..mkuu wako..ukitaka jua uwezo wa lowasa angalia kipindi chake xha uwaziri mkuu nchi ilikua vp...na kama unadai ni fisadi leta data za ufisadi wake sio porojo tu..jamaa ni jembe na unao uwezo wa maamuzi ambao mkuu wenu hana..na km akiwa na afya njema nn hakika akigombea anapata sio kwa sababu anapendwa bali anaweza.
 

Baadhi ya Watanzania vichwa vyao vipo kama vya samaki!wanakaangwa na mafuta yao wao wanaendelea kusifia Lowasa Jembe! Inashangaza hawajiulizi hao watu wanaochanga hizo hela wanazipata wapi?hwajiulizi atazilipaje? Kama anauwezo alipokuwa PM mbona shida hizi hizi zilikuwepo? Machinga mlifukuzwa kariakoo wakati akiwa PM?Wamasai wenyewe huku munduli wanakunywa maji kwenye madimbwi, maji wengine wanafuata zaidi ya kilomita 5 au 10. Mnaota tu Lowasa asahau uraisi. Lowasa hana nia njema na nchi hii. Sijaona raisi anayegawa rushwa aitendee nchi meme. Ikipita harambee watoa rushwa wanafuatia. Acheni ujinga, mnaomsifia Lowasa sijaona tofauti na Wale Jamaa zangu wa CCM walioambiwa vichwa Kama samaki na Mheshimiwa Karume. Naamini CCM watamchinjia mbali na atatokwa na machozi siku hiyo. Lowasa akiwa raisi nchi hii itakuwa kama Mexico, wauza unga watatumaliza.
 

Acha kujifurahisha tu ndugu yangu. Lowasa hana lolote. Hana vision wala mission. Yupo tu kugawa hela za rushwa ili awe raisi. Hela ni zaidi ya uraisi. He is the dead wood. Alipokuwa waziri mkuu niambie amefanya nini?Taja list ya mambo aliyoyafanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…