Lowassa afuatwa na wezi wenzie

Lowassa afuatwa na wezi wenzie

JimCarrey

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
227
Reaction score
142
Inasikitisha sana kuona vijana wanaojiita wakisasa wajanja na wasomi kwa kutaka mabadiliko kwa kuisapoti ukawa hasa hasa hasa hasaaaa Lowassa na wezi wenzie walotoka CCM.

Ukweli ni kwamba Sumaye na Kingunge wameona CCM imeanza kuzima mashimo ya wezi hivyo NATO wakaamua kutimkia aliko mwizi mwenzao.Wakitumai huenda akashila dola na waendeleze michezo yao michafu.Afu kijana anaejiita msomi na mjanja anataka mabadiliko kupitia watu hao.

#WALIOPOSIWATAKININAOTAKANIWAPESIWAAMINI

Sent from my TECNO M5 using Tapatalk
 
Inasikitisha sana kuona vijana wanaojiita wakisasa wajanja na wasomi kwa kutaka mabadiliko kwa kuisapoti ukawa hasa hasa hasa hasaaaa Lowassa na wezi wenzie walotoka CCM.

Ukweli ni kwamba Sumaye na Kingunge wameona CCM imeanza kuzima mashimo ya wezi hivyo NATO wakaamua kutimkia aliko mwizi mwenzao.Wakitumai huenda akashila dola na waendeleze michezo yao michafu.Afu kijana anaejiita msomi na mjanja anataka mabadiliko kupitia watu hao.

#WALIOPOSIWATAKININAOTAKANIWAPESIWAAMINI

Sent from my TECNO M5 using Tapatalk

Kama mnaushahidi wa wizi wao, mbona bado wako mtaani!! Kwa nini hamuwapeleki mahakamani wakati serikali mnaongoza ninyi??
 
  • Thanks
Reactions: aye
mkuu wezi wote sugu na wamebaki ccm tunawajua.wengine ni wapiga kampeni wakubwa wa maghufuli. kwa mfano wapi kina chenge? wapi kina tibaijuka? ccm ndo waliko wapiga dili wakubwa kama kina nchimbi. wanaishi kijanjajanja tu hawana jipya...
 
WanaJF, kuna mada nlochahgia jana nikaandika ''Ukiwa CCM we' msafi ila ukivuka kizingiti tu,yaani ukitoka usafi wote unaisha''. Watz wenzangu hebu tujiulize sote kwani tu timamu kiakili pia tuna macho na masikio ''ni kwanini?''
 
  • Thanks
Reactions: aye
Back
Top Bottom