Maistro 1
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 422
- 181
Ulipata pia kutafakari utajiri wa Tanzania ukalinganisha na umasikini wa wananchi wake? Ama utafiti wako umeufanya Monduli tu?
Unajibu kama siyo msomi bana! Lowassa amekuwa mbuge na waziri kwenye wizara tofauti zaidi ya miaka 20 na hakuweza hata kupunguza umasikini jimboni kwake, Monduli. Je ataweza vipi? kuondoa umasikini nchi nzima. Kweli ushabiki unapunguza uwezo wa kufikiri.