Vijisenti
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 544
- 330
Nitajitahidi kumnadi kwa nguvu zangu zote, najua amezushiwa maana
baada ya kuondoka madarakani mambo yamezidi kuharibika. Kuna mambo
machache nitamuuliza kuhusu zao la korosho akinijibu nitamfanyia kampeni
za chini kwa chini kadri ya uwezo wangu. Nitaunda kikosi kazi kizuri
sana kumnadi vijijini.
NINA IMANI NA MUHESHIMIWA LOWASA ANAWEZA NA NI MCHAPAKAZI.
baada ya kuondoka madarakani mambo yamezidi kuharibika. Kuna mambo
machache nitamuuliza kuhusu zao la korosho akinijibu nitamfanyia kampeni
za chini kwa chini kadri ya uwezo wangu. Nitaunda kikosi kazi kizuri
sana kumnadi vijijini.
NINA IMANI NA MUHESHIMIWA LOWASA ANAWEZA NA NI MCHAPAKAZI.