pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 112
Wengi wenu mna akili za paka....mnasahau baada ya sekunde.
Kama mmekula hela zake mtakoma mla cha mwenzake nae huliwa.
Wengi wenu mna akili za paka....mnasahau baada ya sekunde.
Nitajitahidi kumnadi kwa nguvu zangu zote, najua amezushiwa maana
baada ya kuondoka madarakani mambo yamezidi kuharibika. Kuna mambo
machache nitamuuliza kuhusu zao la korosho akinijibu nitamfanyia kampeni
za chini kwa chini kadri ya uwezo wangu. Nitaunda kikosi kazi kizuri
sana kumnadi vijijini.
NINA IMANI NA MUHESHIMIWA LOWASA ANAWEZA NA NI MCHAPAKAZI.
Sioni mwenye uthubutu zaidi yake ndani ya Chama Chetu Muafaka.
sasa Lowassa anataka Urais wa nini km tu anajibiwa na waliomleta Obama?Jibu la richmond wanalo waliompeleka Obama pale kwenye mitambo? Lowassa wanini?