Lowasa na uchaguzi Arumeru

Lowasa na uchaguzi Arumeru

Kweli kama ni kweli kwa wale wanaoshabikia Lowasa kua Raisi wa nchi hii ya Tanzania kwajinsi anavyogawa hela Makanisani na kwingineko, basi tuhakikishe ni kiama kitawaangukia Watanzania kwakurudisha hizo hela ambazo anazigawa hovyohovyo!

Namnukuu Mwalimu: Mtu unahonga ili uingie Ikulu! Utazirudishaje hizo hela ulizohonga? Mtanzania tafakari mara 7!
 
Nimeipenda sana analysis ya hapo juu.Ni kweli siasa za Meru ni tofauti kabisa.Huwa wanamchagua mtu wanayempenda bila kuangalia sana nani yuko nyuma yake.Kama hawajaridhika na kiongozi wao basi watamuondoa bila kuangalia anatoka chama gani au nani yuko nyuma yake.Meru people dont vote gladly for fools,identity issues infuence the vote and we should not undermine that.The church,the age group,wealth,education(offspring of elite) and natural charisa come into play.Remember no one has ever taught this people how to behave.They know practicaly everything.This makes Arumeru to be one of the polical troublesome area.One who will be able to provide solutions to currennt Meru Problems like land shortage,water projects,health services,improved dairy projects and create lucrative employment opportunities stands a good chance.Hakuna cha EL wala nini Sera tu.Ushindi haupatikani kwa maandamano,good strategy which will adress the people problems.Dont be surprised Sioi akishinda kama ana Sera nzuri
 
Lowassa ndie rais wetu 2015, he is the development dictator and thats the kind of man we want kwa Tanzania ya leo!
 
nawashauri wana arumeru,kila atakayeleta pesa kuleni,kunyweni ila kura yako umpe umtakaye . Hata ilemela walifanya ivo,ila matokeo halali yakaja vizuri. jaman kula iyo ela,ila kura itunze wana arumeru!
 
Sioi ndio mbunge wa Arumeru hata CDM wanalijua hilo, anasubiri kuapishwa tu

We Zero Brain huyo Lowasa anakulipa shilingi ngapi???? Maana naona una moto saana kutetea kila analofanya boss wako!!!! Basi sasa amekosea itakuwa kama Arusha mjini jimbo ni la CDM, UPO????Hata CCM Mkoa wa Arusha wanalijua hilo ni wewe tuu umelala!!!

 
nawashauri wana arumeru,kila atakayeleta pesa kuleni,kunyweni ila kura yako umpe umtakaye . Hata ilemela walifanya ivo,ila matokeo halali yakaja vizuri. jaman kula iyo ela,ila kura itunze wana arumeru!
Hawa wana Arumeru waambiwe kabisa wasikubali mtu yeyote anaye nunu au kuweka rehani cheti cha mpiga kura!!! Hata kama anakupa TSHS NGAPI KATAA KABISA, usiuze kura yako ni muhimu kuchagua umpendaye!!!!!

 
Hata arusha mjini alimwaga hela za ukwel bado mama alipigwa chin..waliokkuwa arusha kipindi kile usingetarajia lema anjemshinda..alihonga vijana wengi ila jion wako na lema...haya yatamkuta sioi wa lowasa
Wasi wasi ni watu kuwekeza vyeti vya mpiga kura au kuvinunua, Wana Arumeru waambiwe kabisa wasiuze vyeti vyao kama Igunga, hizo mbinu za CCM zinafahamika!!!! Takukuru waingie kazini wazuie watu kununa vyeti vya mpiga kura!!!!!Tangazo lipite kuwa kuuza au kuweka rahani cheti cha kupigia kura ni kosa la jinai!!!!

 
Nimeipenda sana analysis ya hapo juu.Ni kweli siasa za Meru ni tofauti kabisa.Huwa wanamchagua mtu wanayempenda bila kuangalia sana nani yuko nyuma yake.Kama hawajaridhika na kiongozi wao basi watamuondoa bila kuangalia anatoka chama gani au nani yuko nyuma yake.Meru people dont vote gladly for fools,identity issues infuence the vote and we should not undermine that.The church,the age group,wealth,education(offspring of elite) and natural charisa come into play.Remember no one has ever taught this people how to behave.They know practicaly everything.This makes Arumeru to be one of the polical troublesome area.One who will be able to provide solutions to currennt Meru Problems like land shortage,water projects,health services,improved dairy projects and create lucrative employment opportunities stands a good chance.Hakuna cha EL wala nini Sera tu.Ushindi haupatikani kwa maandamano,good strategy which will adress the people problems.Dont be surprised Sioi akishinda kama ana Sera nzuri
Umevuta ngapi mkuu naona uko nyuma ya huyo Bwana EL na fix zake??????

 
Lowassa anasubiri kuapishwa tu kuwa rais wa JMT.Slaa anajua hilo

Mnyisanzu kikwetu lina maana mbaya sana. Ungejua PILI acha kumtaja huyo mtu utachefua watu kama ni ombaomba/Utumwa ni wewe usiye na aibu.
 
Back
Top Bottom