acha kukatisha vijana tamaa, wako kitaifa zaidi, nyie mliohongwa na akina lowasa siku zenu zinahesabika. taifa kwanza!!!!Acha uppuzi bwana mdogo, unamaana gani MASHUHUDA WETU WA SIRINI, au ndo unatuletea habari zenu za TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA.. Be critical, otherwise keep quiet, sio lazima kuchangia