kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
Lowasa amemnadi SIOI kwa kusema atamaliza matatizo ya maji na ardhi.
Mkapa amewaponda wapinzani kuwa hawana lolote na hawataleta maendeleo
yoyote Arumeru.
SOURCE: ITV habari
ulitregemea nini?