LOWASA, MKAPA walivyounguruma leo Arumeru mashariki

Wataendelea kuwadanganya vichwa panzi wenzao,maendeleo gani waliyofanya wao zaidi ya kuwaibia watanzania,na kugawa ardhi ya wameru kwa hao wachukuaji wanaojiita wawekezaji?huyo lower hasa na mkaahapa walikua viongozi wakubwa sana wa nchi hii,hawakuyaona matatizo ya Arumeru miaka yote na kuyatatua mpaka waje wayatatua wakati wa kumkapanie huyo mtoto aliyeoa binti yao?wameru msiwe watu wa kushikiwa akili,wasilisheni mawazo ya watanzania walio huru kifikra kwa kwy box la kura jumapili
 
Tunasgukuru sana ITV wameonyesha kila kitu audience ya LOwassa na MKapa ,watoto ndio wengi huku LOwasa na Mkapa wakionekana wachovu sana
Mkutano wa Dr Slaa Vicent na Nassari audience imevaa nguo nyeupe wengi tuu nadhani waraka umeshawaingia vichwani na mioyoni mwao ,shamra shamra kwa kweli nyomi ilikuwa ya kutisha
 


mtoto.jpg
Hakika kafunika hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaahahaha....tulipokuwa tuna sema tulikuwa tunabezwa...............Nahapo hawajaonyesha zomezomea baada ya kampeni
 
Last edited by a moderator:
mkapa kwanini asinge pumuzika tu anahangaika anamhangaikia nani ndio maana hakawii kujichanganya kwa kauli zake.
 
[h=6]Walisema hataongea, ooh mara akija azomewe! hatimaye mwanasiasa maharufu pengine kuliko wote kwasasa nchini mheshimiwa EDWARD LOWASA leo amehutubia maelfu ya wapiga kura huko ARUMERU! kwa mujibu wa mashuhuda wetu umati wa watu uliojitokeza haujawahi kutokea katika historia ya eneo hilo! pamoja na CDM kumchafua sana LOWASA leo ameshangiliwa sana na wananchi kuwa watulivu kumsikiliza na kupiga makofi ya pongezi pale alipogusia hoja za msingi na alimnadi mgombea wa CCM mh SIOI SUMARI, kuwaambia wananchi wampe kura SIOI na yeye atakuwa ataongozana nae hadi kwa waziri wa ARDHI kumaliza matatizo ya ardhi Arumeru! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI! HONGERA MH LOWASA KWA KUWAONYESHA KUWA UKO FIT KUPAMBANA[/h]

Acha ushabiki....yaani umesimulia na wewe unaripoti kama ulikuwepo katiti!haya mambo ya kuwa umekaa rose garden unaandika habari kama upo Arumeru hauna mashiko.huyo ripota wako ameongeza chumvi na ushabiki ili kuwaliwaza nyie mlioko mbali kwa ufupi huo umati anaousema ni watu waliletwa na malori kutoka pande mbali mbali,boda boda walipewa 10,000 yote ili kufanya watu wengi japo haikuwa hivyo.hata pale lowassa alipo panda jukwani alikuwa hana jipya kwa wameru zaidi ya kuanza kuwaambia watu hapo,hapo,hapo je?alipo toka katiti akaungana na mkapa,mukama na wajumbe wengine katika mkutano tengeru lakini katika barabara ya moshi arusha ilipambwa na umati wa wafuasi wa CDM na walipopita viongozi wa ccm waliishia kuzomewa hususani lowasa,mkapa,nape na mukama.na misafara ya ccm walipoteana na kila walipo onekana walipigiwa buuuuuu.....hii ikiwatofauti na CDM ambao walikuwa wakitokea katiti wakiwa na msafara mrefu huku wakilakiwa na wafuasi wao.
In short hayo ndiyo yaliojiri kama unabishara ni haki yako ya msingi ila waliopo ground watachangia zaidi.
 

hahahahah....Michuzi kajitahidi kuficha aibu ya boss wake lakini wapi
 
Last edited by a moderator:
Walisema hataongea, ooh mara akija azomewe! hatimaye mwanasiasa maharufu pengine kuliko wote kwasasa nchini mheshimiwa EDWARD LOWASA leo amehutubia maelfu ya wapiga kura huko ARUMERU! kwa mujibu wa mashuhuda wetu umati wa watu uliojitokeza haujawahi kutokea katika historia ya eneo hilo! pamoja na CDM kumchafua sana LOWASA leo ameshangiliwa sana na wananchi kuwa watulivu kumsikiliza na kupiga makofi ya pongezi pale alipogusia hoja za msingi na alimnadi mgombea wa CCM mh SIOI SUMARI, kuwaambia wananchi wampe kura SIOI na yeye atakuwa ataongozana nae hadi kwa waziri wa ARDHI kumaliza matatizo ya ardhi Arumeru! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI! HONGERA MH LOWASA KWA KUWAONYESHA KUWA UKO FIT KUPAMBANA

Sawa kama kweli kahutububia watu wengi ... Lakini tunajuaje kama hawakuletwa na Magari au mabasi toka sehemu zingine? Maana hawa jamaa kwa pesa hawana shida na wadanganyika kwa kununuliwa hatujambo!!!

Mnaweza kuwanunuwa wakawapigia makofi lakini hamtawalazimisha wawepigie kura kwani kura ni siri ya mpiga kura. Kama uchaguzi ni huru basi tusubiri matokeo!!!!
 
Lowasa kaimba nyimbo ya profesa J! eti hapo vp?watoto wengi wanaitikia hapo sawa!Mkapa network ilipotea akaongea mipumba
 
Kweli siasa ngumu sana ccm aibu yao nimeshuhudia mwenyewe itv ukombozi wa nchi hii umefika
 
Kengemaji unahangaika na magamba...mkapa wa kuzombewa watu na noah toka arusha mjini,kenge umepotea...ur name
 
Mkapa na Lowasa yamebaki kuwa majina tu kama Kengemumaji, idawa na wengine tofauti yao tu kwamba yetu yako Maarufu JF
 
Back
Top Bottom