LOWASA, MKAPA walivyounguruma leo Arumeru mashariki

Amani amani inayozungumzwa na CCM ndiyo hii? tizama yanayojiri ktk uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki


Video kwa hisani ya CHADEMATV youtube.
 
Last edited by a moderator:
Nimepita page 7 za hii thread naona hata magamba wa JF wameingia mitini wanasubiri thread zinazomuhusu zito ili wachonganishe
 
Nasema wewe ni
KENGE..
Unayechukia demokrasia ni
KENGE..
Unayepotosha uma ni
KENGE..
Unayewafagilia mafisadi ni
KENGE..
Unayeichukia CDM ni
KENGE..
Unayeshadadia kampeni zenye matusi like mipasho ya Lusinde ni
KENGE..
Wanaotumwa na Magamba kuleta ***** ktk JAMVI LETU ni
KENGE...
Na wewe mleta mada hii ni
KENGE...KENGE..KENGE
Kwani uko ktk msafara wa Mamba hivyo wewe KENGE hukosi..

He! Wewe si ndiyo KENGE kiongozi? Uke mbele ya MAKENGE wote hapa JF.
 
Mi ni cdm damu. Hata mi ningekuwa arumeru ningeenda kumsikiliza, kwa udadisi tu na kujua anaongea nini. Hivyo wengi walienda kumshangaa tu kutokana na yale yanayomzunguka
 
Back
Top Bottom