Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
Walisema hataongea, ooh mara akija azomewe! hatimaye mwanasiasa maharufu pengine kuliko wote kwasasa nchini mheshimiwa EDWARD LOWASA leo amehutubia maelfu ya wapiga kura huko ARUMERU! kwa mujibu wa mashuhuda wetu umati wa watu uliojitokeza haujawahi kutokea katika historia ya eneo hilo! pamoja na CDM kumchafua sana LOWASA leo ameshangiliwa sana na wananchi kuwa watulivu kumsikiliza na kupiga makofi ya pongezi pale alipogusia hoja za msingi na alimnadi mgombea wa CCM mh SIOI SUMARI, kuwaambia wananchi wampe kura SIOI na yeye atakuwa ataongozana nae hadi kwa waziri wa ARDHI kumaliza matatizo ya ardhi Arumeru! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI! HONGERA MH LOWASA KWA KUWAONYESHA KUWA UKO FIT KUPAMBANA
Kijana unapotosha watu hivihivi hapo sio patandi, patandi kulikuwa na umati umati mkubwa saana,afu mnafanya usanii kwenye picha za ccm mnachukua picha sehemu za pembezoni au sehemu zamwisho mwisho kwenye msafara kuonyesha eti watu wachache! mbona hampigi picha mwanzo wa msafara au kupiga picha kutokea kwenye jukwaa kuu kuonyesha umati wa watu ulioudhuria! endeeleeni kuwajaza uwongo wanachama wenu
Magamba hawawezi kutoa picha kama hii, watajitahidi kutoa picha ambazo hazina uhalisia.
Ungekuwepo maeneo ya Kikatiti leo usingesema uyasemayo. EL kautubia watu kiduchu wakiwepo waliotoka Monduli kama ilivyo ada kwa ccm kubeba watu kutoka sehemu mbalimbali ili kujaza mikutano yao.
BAada ya kampeni alizomewa vibaya na wananchi wa Kikatiti, askari ndo waliomwokoa kwani ilibidi waingilie kati na msafara ukarudi usa river.
Chini ni baadhi tu ya picha za zomeazomea hizo
View attachment 50546
View attachment 50549
View attachment 50550
View attachment 50551
Msafara wa EL wakitoka kikatiti kabla ya zomeazomea
View attachment 50552
Watoto wakuandamana kuunga mkono zomeazomea hizo
View attachment 50554
Kijana unapotosha watu hivihivi hapo sio patandi, patandi kulikuwa na umati umati mkubwa saana,afu mnafanya usanii kwenye picha za ccm mnachukua picha sehemu za pembezoni au sehemu zamwisho mwisho kwenye msafara kuonyesha eti watu wachache! mbona hampigi picha mwanzo wa msafara au kupiga picha kutokea kwenye jukwaa kuu kuonyesha umati wa watu ulioudhuria! endeeleeni kuwajaza uwongo wanachama wenu
Asante Makene tuko pamoja
![]()
Magamba hawawezi kutoa picha kama hii, watajitahidi kutoa picha ambazo hazina uhalisia.