jackson Nyella
Member
- Mar 28, 2012
- 6
- 0
imefunika ingawa wameanza na mkutano wa ccm kuonyesha walivyokuja kwa chadema hakika
....muwe macho na mbinu za magamba! wapenda mabadiliko tunawatakia kila la kheri!!
nimemsikia na hapo vipiiii siakapumzike anaangaika nini,haujamsikia Lowasa....
hapo vipiiiiiiiiiiiii?????????????
hapo sawaaaaaaaaaaaa????????????
ndiyo siasa zilizoba CCM, hakuna jipya,
kweli, kuchagua ccm hadi uwe na kichwa cha panzi.......
Wajaribu na huo mtutu waone, nimetokea ngome sasa hivi pale Elephant, watu wako tayari kwa lolote chochote.
Kina mama na vijana wametoka Kikatiti kwa mguu mpaka Ngome (Leganga), wameulizwa mbona mmetembea umbali mrefu hivo kuja hapa wakajibu tumekuja tunataka tuambiwe mkakati wa kulinda kura.
Sasa narudi zangu town barabarani ni jam ya ajabu magari na bendera mengine yakirudi town na mengine yakija ngome kukesha mpaka hiyo funga funga kesho na matokeo pale kwa mkuu wa wilaya jumapi Mkuu kampeni za kesho zinaanza saa ngap..?
Hizi ndizo sera za Lusinde! Ama kweli Mtera ni yatima.
mkuu naomba utujuze muda wa kuanza mikutano yote hyo miwili ili tukawakilishe...peopleeeeeez...powerrrrrr..!!!
Chademaaaaaaaaaaaa for arumeruuuuuuuuuuuuuuu 1 april 2012 tulianza na mungu tutamalizana mungu wao wanamaliza na ffu kutoka ccp