Lowasa hawezi kusaka urais bila kumdhihaki rais Kikwete na familia yake?

ray jay

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
1,084
485
Wana jamvi,leo nimeona nilete swali hili kwenu,hivi mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumchafua Rais aliyeko madarakani na familia yake??
Wana jamvi,kwa muda mrefu sasa imekua huyu bwana na wafuasi wake wamekua wakimchafua mh. Rais na kumtukana yeye na familia yake kama njia yao ya kunadi uzuri wa mtu wao. Wamesikika wapambe wa karibu wa bwana Edo wakisema JK ni dhaifu,serikali imemshinda,mwanae Ridhiwani kuzushiwa kumiliki kila ghorofa mjini,kila sheli ya mafuta,kila hoteli mpya,kukamatwa na dawa za kulevya,kauli za kuwa Edo akipata nchi akina Riz moko wahame nchi n.k. Kauli hizi wakati mwingine huambatana na matusi ya nguoni kutoka kwa wafuasi wa Edo kwa wanafamilia wa JK.Hapo ndipo tunauliza,Mzee Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumdhihaki Rais aliyeko madarakani???
Ikumbukwe kuwa Tanzania imekua na utamaduni wa viongozi wetu kuheshimiana.Mzee Mwinyi hakupata urais kwa kumuhujumu Mwalimu, mzee Mkapa hakupata urais kwa kumtukana Mwinyi, wala Jakaya hakutafuta urais kwa kumtukana mzee Mkapa. Utamaduni huu ndio umeendelea kujenga misingi mizuri ya nchi yetu.Tunajiuliza,hii style ya huyu bwana Edo imetoka wapi?
Kweli ni lazima kumtukana Rais ili wewe upate urais??Kumbukeni wana jamvi kuwa urais ni taasisi kubwa.Inahitaji hekima na busara.Mtu mwenye kuonesha visasi kabla hata hajapata huo urais akipata itakuwaje??
Rais Kikwete aliwapa nafasi watu ambao wengine walimpinga kufa na kupona na kumpiga vita asiwe Rais. Akina Nape Nnauye, Salim Ahmed Salim, Joseph Sinde Warioba, Butiku na hata Mzee Mangula. Huo ndio uongozi wakuu. Sasa hii style mpya inatutisha sana.
Urais unatafutwa kwa kumtukana Rais na familia yake????
Yangu macho.
 
Wana jamvi,leo nimeona nilete swali hili kwenu,hivi mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumchafua Rais aliyeko madarakani na familia yake??
Wana jamvi,kwa muda mrefu sasa imekua huyu bwana na wafuasi wake wamekua wakimchafua mh. Rais na kumtukana yeye na familia yake kama njia yao ya kunadi uzuri wa mtu wao. Wamesikika wapambe wa karibu wa bwana Edo wakisema JK ni dhaifu,serikali imemshinda,mwanae Ridhiwani kuzushiwa kumiliki kila ghorofa mjini,kila sheli ya mafuta,kila hoteli mpya,kukamatwa na dawa za kulevya,kauli za kuwa Edo akipata nchi akina Riz moko wahame nchi n.k. Kauli hizi wakati mwingine huambatana na matusi ya nguoni kutoka kwa wafuasi wa Edo kwa wanafamilia wa JK.Hapo ndipo tunauliza,Mzee Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumdhihaki Rais aliyeko madarakani???
Ikumbukwe kuwa Tanzania imekua na utamaduni wa viongozi wetu kuheshimiana.Mzee Mwinyi hakupata urais kwa kumuhujumu Mwalimu, mzee Mkapa hakupata urais kwa kumtukana Mwinyi, wala Jakaya hakutafuta urais kwa kumtukana mzee Mkapa. Utamaduni huu ndio umeendelea kujenga misingi mizuri ya nchi yetu.Tunajiuliza,hii style ya huyu bwana Edo imetoka wapi?
Kweli ni lazima kumtukana Rais ili wewe upate urais??Kumbukeni wana jamvi kuwa urais ni taasisi kubwa.Inahitaji hekima na busara.Mtu mwenye kuonesha visasi kabla hata hajapata huo urais akipata itakuwaje??
Rais Kikwete aliwapa nafasi watu ambao wengine walimpinga kufa na kupona na kumpiga vita asiwe Rais. Akina Nape Nnauye, Salim Ahmed Salim, Joseph Sinde Warioba, Butiku na hata Mzee Mangula. Huo ndio uongozi wakuu. Sasa hii style mpya inatutisha sana.
Urais unatafutwa kwa kumtukana Rais na familia yake????
Yangu macho.

Ungemuuliza kwanz mama slma ilikuwaje akatuma kikosi cha waandishi wa habr kwenda kupeleleza file la lowassa hospitali ujeremani ndio uje
 
Kwani la ajabu hapo ni lipi? Lowassa alibeba msalaba wa Kikwete katika sakata la Richmond akapoteza uwaziri mkuu ili Kikwete asalimike. Kuna ahadi Kikwete alimpa lakini ameshindwa kuzitimiza na hivi sasa anafanya kila jitihada kumzuia Lowassa katika ndoto yake. Hii inaitwa tit for tat. Ngoja waumbuane wote ni mafisadi tu.
 
Lowassa hawezi kuwa raisi kwa sababu ni mgonjwa pia ni fisadi mkubwa hafai kabisa ccm hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi 2015 wote ni wezi na mafisadi wakubwa
 
Wana jamvi,leo nimeona nilete swali hili kwenu,hivi mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumchafua Rais aliyeko madarakani na familia yake??
Wana jamvi,kwa muda mrefu sasa imekua huyu bwana na wafuasi wake wamekua wakimchafua mh. Rais na kumtukana yeye na familia yake kama njia yao ya kunadi uzuri wa mtu wao. Wamesikika wapambe wa karibu wa bwana Edo wakisema JK ni dhaifu,serikali imemshinda,mwanae Ridhiwani kuzushiwa kumiliki kila ghorofa mjini,kila sheli ya mafuta,kila hoteli mpya,kukamatwa na dawa za kulevya,kauli za kuwa Edo akipata nchi akina Riz moko wahame nchi n.k. Kauli hizi wakati mwingine huambatana na matusi ya nguoni kutoka kwa wafuasi wa Edo kwa wanafamilia wa JK.Hapo ndipo tunauliza,Mzee Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumdhihaki Rais aliyeko madarakani???
Ikumbukwe kuwa Tanzania imekua na utamaduni wa viongozi wetu kuheshimiana.Mzee Mwinyi hakupata urais kwa kumuhujumu Mwalimu, mzee Mkapa hakupata urais kwa kumtukana Mwinyi, wala Jakaya hakutafuta urais kwa kumtukana mzee Mkapa. Utamaduni huu ndio umeendelea kujenga misingi mizuri ya nchi yetu.Tunajiuliza,hii style ya huyu bwana Edo imetoka wapi?
Kweli ni lazima kumtukana Rais ili wewe upate urais??Kumbukeni wana jamvi kuwa urais ni taasisi kubwa.Inahitaji hekima na busara.Mtu mwenye kuonesha visasi kabla hata hajapata huo urais akipata itakuwaje??
Rais Kikwete aliwapa nafasi watu ambao wengine walimpinga kufa na kupona na kumpiga vita asiwe Rais. Akina Nape Nnauye, Salim Ahmed Salim, Joseph Sinde Warioba, Butiku na hata Mzee Mangula. Huo ndio uongozi wakuu. Sasa hii style mpya inatutisha sana.
Urais unatafutwa kwa kumtukana Rais na familia yake????
Yangu macho.

Umewahi kumsikia Kikwete akilalamika kuwa ametukanwa na Lowassa?
Umewahi kumsikia Salma akilalamika kuwa ametukanwa na Lowassa?
Umewahi kumsikia Ridhiwani akilalamika kwa ametukanwa na Lowassa?
Acha kutunga vitu ambavyo havipo.
 
Wana jamvi,leo nimeona nilete swali hili kwenu,hivi mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumchafua Rais aliyeko madarakani na familia yake??
Wana jamvi,kwa muda mrefu sasa imekua huyu bwana na wafuasi wake wamekua wakimchafua mh. Rais na kumtukana yeye na familia yake kama njia yao ya kunadi uzuri wa mtu wao. Wamesikika wapambe wa karibu wa bwana Edo wakisema JK ni dhaifu,serikali imemshinda,mwanae Ridhiwani kuzushiwa kumiliki kila ghorofa mjini,kila sheli ya mafuta,kila hoteli mpya,kukamatwa na dawa za kulevya,kauli za kuwa Edo akipata nchi akina Riz moko wahame nchi n.k. Kauli hizi wakati mwingine huambatana na matusi ya nguoni kutoka kwa wafuasi wa Edo kwa wanafamilia wa JK.Hapo ndipo tunauliza,Mzee Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumdhihaki Rais aliyeko madarakani???
Ikumbukwe kuwa Tanzania imekua na utamaduni wa viongozi wetu kuheshimiana.Mzee Mwinyi hakupata urais kwa kumuhujumu Mwalimu, mzee Mkapa hakupata urais kwa kumtukana Mwinyi, wala Jakaya hakutafuta urais kwa kumtukana mzee Mkapa. Utamaduni huu ndio umeendelea kujenga misingi mizuri ya nchi yetu.Tunajiuliza,hii style ya huyu bwana Edo imetoka wapi?
Kweli ni lazima kumtukana Rais ili wewe upate urais??Kumbukeni wana jamvi kuwa urais ni taasisi kubwa.Inahitaji hekima na busara.Mtu mwenye kuonesha visasi kabla hata hajapata huo urais akipata itakuwaje??
Rais Kikwete aliwapa nafasi watu ambao wengine walimpinga kufa na kupona na kumpiga vita asiwe Rais. Akina Nape Nnauye, Salim Ahmed Salim, Joseph Sinde Warioba, Butiku na hata Mzee Mangula. Huo ndio uongozi wakuu. Sasa hii style mpya inatutisha sana.
Urais unatafutwa kwa kumtukana Rais na familia yake????
Yangu macho.
i
Niwewe tunayekusoma hapa ndio wamtusi Mh.Rais pamoja na familia yake, hao wengine hatuwajui wala hatujasikia.
 
Jamani mwacheni lowassa apumzike ajiuguze ugonjwa alionao unamsumbua mpaka anashindwa kula mwenyewe mpaka alishwe.mwacheni jamani
 
Jasusi, unamaanisha kuwa Rais Kikwete anahangaika kumzuia Lowassa kuingia madarakani?Kwa ushahidi upi?Hivi kwa nguvu na mamlaka aliyonayo Rais ni kweli akiamua kumshughulikia mtu atashindwa??
Msalaba upi Lowassa aliubeba ambao alishindwa kujitetea mbele ya Bunge hadi aamue kujiuzulu??
 
Last edited by a moderator:
Tuhuma zako zote ni kwa watu wa kundi la Edo sijaona mahali popote unamnukuu Edo mwenyewe. Huoni kwamba unafanya unachojidai kukipinga? Na zaidi ya yote unajibainisha kuwa mwongo.
 
Jasusi, unamaanisha kuwa Rais Kikwete anahangaika kumzuia Lowassa kuingia madarakani?Kwa ushahidi upi?Hivi kwa nguvu na mamlaka aliyonayo Rais ni kweli akiamua kumshughulikia mtu atashindwa??
Msalaba upi Lowassa aliubeba ambao alishindwa kujitetea mbele ya Bunge hadi aamue kujiuzulu??

Tuliza shanga wewe mtoto wa kiume.Lengo lako ni kumgombanisha lowassa na familia ya rais!!tumekushtukia,mods hawa wahuni waondolewe humu
 
Last edited by a moderator:
Wana jamvi,leo nimeona nilete swali hili kwenu,hivi mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumchafua Rais aliyeko madarakani na familia yake??
Wana jamvi,kwa muda mrefu sasa imekua huyu bwana na wafuasi wake wamekua wakimchafua mh. Rais na kumtukana yeye na familia yake kama njia yao ya kunadi uzuri wa mtu wao. Wamesikika wapambe wa karibu wa bwana Edo wakisema JK ni dhaifu,serikali imemshinda,mwanae Ridhiwani kuzushiwa kumiliki kila ghorofa mjini,kila sheli ya mafuta,kila hoteli mpya,kukamatwa na dawa za kulevya,kauli za kuwa Edo akipata nchi akina Riz moko wahame nchi n.k. Kauli hizi wakati mwingine huambatana na matusi ya nguoni kutoka kwa wafuasi wa Edo kwa wanafamilia wa JK.Hapo ndipo tunauliza,Mzee Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumdhihaki Rais aliyeko madarakani???
Ikumbukwe kuwa Tanzania imekua na utamaduni wa viongozi wetu kuheshimiana.Mzee Mwinyi hakupata urais kwa kumuhujumu Mwalimu, mzee Mkapa hakupata urais kwa kumtukana Mwinyi, wala Jakaya hakutafuta urais kwa kumtukana mzee Mkapa. Utamaduni huu ndio umeendelea kujenga misingi mizuri ya nchi yetu.Tunajiuliza,hii style ya huyu bwana Edo imetoka wapi?
Kweli ni lazima kumtukana Rais ili wewe upate urais??Kumbukeni wana jamvi kuwa urais ni taasisi kubwa.Inahitaji hekima na busara.Mtu mwenye kuonesha visasi kabla hata hajapata huo urais akipata itakuwaje??
Rais Kikwete aliwapa nafasi watu ambao wengine walimpinga kufa na kupona na kumpiga vita asiwe Rais. Akina Nape Nnauye, Salim Ahmed Salim, Joseph Sinde Warioba, Butiku na hata Mzee Mangula. Huo ndio uongozi wakuu. Sasa hii style mpya inatutisha sana.
Urais unatafutwa kwa kumtukana Rais na familia yake????
Yangu macho.
Nyie ndo wapambe ambao hata comrade Riz alisema mnajifanya kuwachonganisha hawa watu kwa kuwa mnataka kundi moja lionekane halumtaki Rais mchapa kazi JK ili mpate maslahi yenu.hakuna mahali utakuta Lowasa anamdhihaki Kikwete ila in nyie wapambe nuksi ndo mnaojipendekeza kwa maslahi yenu.hivi wewe Kikwete kwa kazi alizofanya kuna Rais was kulinganisha tangu Uhuru?acheni majungu ya njaa kumchonganisha Ngoyai na JK.Ngoyai anakipenda sana chama na kunyenyekea sana kwa Jakaya akijua no Rais mahiri katika hii nchi.unafiki huu hautakusaidia kamanda.kama ninyi wapambe mnaichafua familia ya mh Raid ni kwa maslahi yenu lakini hamjatumwa na Lowwasa.huu no uhuni.iweje MTU aliyeshiriki mikakati miaka kumi Jakaya kuongoza nchi eti aje aseme Jakaya hafai...Jakaya no kiongozi mahiri na mwenye maono kuwahi kutokea katika hii nchi.Fanyeni siasa zenu mkome kumchonganisha Rais wetu na watu kwa maslahi yenu.na hata watu wanaomtaja taja first lady kwa maslahi yao wakome

Jakaya atakumbukwa daima kwa kuisukuma nchi kutoka nyuma kwenda mbele.wapambe komeni kumchonganisha Rais na Lowasa hata mwanae alisema wapambe ndo mnatengeneza sasa kama mtoto was Rais alisema ninyi wapambe mnayatoa wapi kama sio njaa nabkujipendekeza@?
 
Wana jamvi,tukumbuke hatua ya mzee Lowassa kujitokeza hadharani kupinga sera ya JK ya Kilimo kwanza,suala la ajira ni bomu linalosubiria kulipuka n.k.Haya yote sio daliki za kushambulia uongozi wa J.K??
 
Kama mtu ni mbunge na MNEC wa CCM unajitokeza hadharani kupinga sera za serikali ya chama chako,kuwa kilimo kwanza ni hovyo,ajira bomu.Maana yake nini?
 
Back
Top Bottom