Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,161
- 26,668
km uongo,wawavue gamba bac tuone!....015 ikijiri,ndo mtajua km ccm kwishney,coz it seems up to now wengi hawaamini!mfano,Nape
Inawezekana ni kutokana na siasa zinazofanana na za kishirikina na miujiza hapa Tanzania, watu hawaitaki ccm kwa mshangao mkubwa inashinda kilaini, Lowasa fisadi kila mtu anasema but haishangazi kusikia miongoni mwa wanao msema vibaya watasema atagombea urais na aweza shinda, Maajabu kwelikweli ktk siasa