maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
- Thread starter
- #41
Watu wameshaanza kwenda mkuu. Kuna kimbuga kinakuja. Hujaona? Mwaka huu CCM watazisoma namba
kukaa kimya sio jibu awaambie ndugu jamaa, marafiki na washabiki wake waende upinzan tena chadema kuongeza nguvu yao kweny ukomboz hata kama yey hagombei ila awaelekeze watu wake cha kufanya