Lowasa akubali yaishe.

Lowasa akubali yaishe.

Watu wameshaanza kwenda mkuu. Kuna kimbuga kinakuja. Hujaona? Mwaka huu CCM watazisoma namba

kukaa kimya sio jibu awaambie ndugu jamaa, marafiki na washabiki wake waende upinzan tena chadema kuongeza nguvu yao kweny ukomboz hata kama yey hagombei ila awaelekeze watu wake cha kufanya
 
kukaa kimya sio jibu awaambie ndugu jamaa, marafiki na washabiki wake waende upinzan tena chadema kuongeza nguvu yao kweny ukomboz hata kama yey hagombei ila awaelekeze watu wake cha kufanya


Jamaa keshawaelekeza tyr mkuu. Hujaona posts za TeamLowassa hapa JF zilishabadilika tyr? Mpk tar.25 July mtashuhudia Kimbuga kikubwa sana. Leo tu kuna matukio mengi mtayaona. Mwaka huu ni wa mabadiliko
 
Jama keshawaelekeza tyr mkuu. Hujaona posts za TeamLowassa hapa JF zilishabadilika tyr? Mpk tar.25 July mtashuhudia Kimbuga kikubwa sana. Leo tu kuna matukio mengi mtayaona. Mwaka huu ni wa mabadiliko

asante sana mku unajua vita unaweza ukashinda kwa urahs kama una kamanda kutoka kwa maadui zako kaja kwako kwa nia ya kulipiza kisas, lowasa mwaka ukawa wakishinda achongewe sanamu kama kumbukumbu ya ukomboz
 
Back
Top Bottom