Ina uzunisha lakini huo ndio moyo wa kiume(heart of man) wa lowasa... kifua cha Mzee sio kidogo tuacheni utani. Ameweka mengi chini ya sakafu ya moyo.. ukisema amekubali ya ishe nadhani utajuwa umeongea lugha nyepesi. Sema lowasa ni mwanaume mwenye moyo wa kiume... that's why I can let it go
Huo uongo wa kitoto sana..... huo ujumbe uliotumwa kwa njia ya Imeil, ulikwenda kwenye Imeil Address ipi?kwa mujibu wa email yake akiwashukuru ndugu, jamaa, marafiki na washabiki zake alitoa neno moja muhim kwamba anasikitika ndoto yake ya URAIS IMEZIMWA. mana yake hana mpango mwingine wa kugombea nje ya ccm na ikumbukwe alisema hatoki ccm, wanawaza kwamba ataenda upinzani poleni, washabiki wake polen sana mzee amekuliana na matokeo. habar ndio hiyo.
akihama jamaa wanaweza kumfilisi mali zake zote kwani alizipata kwa mgongo wa chama chake.
kwa mujibu wa email yake akiwashukuru ndugu, jamaa, marafiki na washabiki zake alitoa neno moja muhim kwamba anasikitika ndoto yake ya URAIS IMEZIMWA. mana yake hana mpango mwingine wa kugombea nje ya ccm na ikumbukwe alisema hatoki ccm, wanawaza kwamba ataenda upinzani poleni, washabiki wake polen sana mzee amekuliana na matokeo. habar ndio hiyo.
mi mwenyewe nilitaka kusema kama wewe,, hawa jamaa ni wabaya sana akitishia usalama na uwepo wao wanaweza kumfilisi mpaka korodani zake kubabake
kwa mujibu wa email yake akiwashukuru ndugu, jamaa, marafiki na washabiki zake alitoa neno moja muhim kwamba anasikitika ndoto yake ya URAIS IMEZIMWA. mana yake hana mpango mwingine wa kugombea nje ya ccm na ikumbukwe alisema hatoki ccm, wanawaza kwamba ataenda upinzani poleni, washabiki wake polen sana mzee amekuliana na matokeo. habar ndio hiyo.
si monduli tu kaskazini yote hamieni CHADEMA maana baba na wajomba zenu wote wako huko
Sasa hata kama hakutaka angefanyeje...
Teh teh CCM haikuwa na best option!!!
ingempitisha ingepasuka hasa wazee wengi wana chuki za juu na Lowassa hasa u kaskazini wake!!! nilimshangaa Nape alipolalama mbele ya CC ati babake katumika sana CCM ila kafa bila nyumba ha ha hivi hii ndiyo analysis ya kutumia kupima uwezo wa watu? Ktk CC Mkapa ni tajiri wa kutisha nikashangaa Nape kusema ya Lowassa kwa uchungu akimlinganisha na babake aliyeishi kwa kufurahisha wanawake uhai wote hata asikumbuke kujenga!!!
Hasara ya pili ni hii ya kumkata Lowassa tena kimizengwe!!! hapa atakufa nao....
Ninachoweza mshauri Lowassa aachane na CCM maana imedhihirisha chuki ilizonazo kwake na kanda anayotokea!!! kama mali zake ndo kigezo cha kuamsha chuki bila kusemwa uharamu wake ni bora awakache tuu....
Ndo sasa naamini CCM wako too obsessed na watu wa kaskazini kwasababu ya mafanikio yao...
mkuu mi ningependa kama kuna watu wa karib na lowasa wapo hapa wanaoweza kuongea naye wamwambie asilitulie watu wake waende upinzani
Watu wameshaanza kwenda mkuu. Kuna kimbuga kinakuja. Hujaona? Mwaka huu CCM watazisoma namba