kwa mujibu wa email yake akiwashukuru ndugu, jamaa, marafiki na washabiki zake alitoa neno moja muhim kwamba anasikitika ndoto yake ya URAIS IMEZIMWA. mana yake hana mpango mwingine wa kugombea nje ya ccm na ikumbukwe alisema hatoki ccm, wanawaza kwamba ataenda upinzani poleni, washabiki wake polen sana mzee amekuliana na matokeo. habar ndio hiyo.
Ina uzunisha lakini huo ndio moyo wa kiume(heart of man) wa lowasa... kifua cha Mzee sio kidogo tuacheni utani. Ameweka mengi chini ya sakafu ya moyo.. ukisema amekubali ya ishe nadhani utajuwa umeongea lugha nyepesi. Sema lowasa ni mwanaume mwenye moyo wa kiume... that's why I can let it go
kwa mujibu wa email yake akiwashukuru ndugu, jamaa, marafiki na washabiki zake alitoa neno moja muhim kwamba anasikitika ndoto yake ya URAIS IMEZIMWA. mana yake hana mpango mwingine wa kugombea nje ya ccm na ikumbukwe alisema hatoki ccm, wanawaza kwamba ataenda upinzani poleni, washabiki wake polen sana mzee amekuliana na matokeo. habar ndio hiyo.