maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
kwa mujibu wa email yake akiwashukuru ndugu, jamaa, marafiki na washabiki zake alitoa neno moja muhim kwamba anasikitika ndoto yake ya URAIS IMEZIMWA. mana yake hana mpango mwingine wa kugombea nje ya ccm na ikumbukwe alisema hatoki ccm, wanawaza kwamba ataenda upinzani poleni, washabiki wake polen sana mzee amekuliana na matokeo. habar ndio hiyo.