cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,308
Yaani umebanwa piritoni ni kubwa
Mie ndo nilirudia tena kwa kuhoji,
nweiiiii nimepambaniaa sana huyo shouzzz, afu ktk vita vyake vyote mie ndo nilikua front, mumuulize akatae hapa yeye. Nilisema kwa upande wangu juu yake, mie sio mnafikiiii.
Nimepigania vita yake zaidi ya 3, nani atanitishia humu? Najua zaidi ya mnavyojua, unadhani nna cha kupotezaa bas? Nyie c mmekuja mwshoni kuunga trelaa, mtaniambia nn? Eti Leo oooh cocastic mnaaa, nilisema ukweli kwa jinsi nilivyojisikia, Unafiki sio shida zangu, heri niliyesema kwenye halaiki za watu mkapata cha kunena je ningesemea pembeni?
Hamnistuiiiiiiii