cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Anatuchosha tu
mtafuta kiki huyo! Mie sio hao wasiojielewa




noumaaaaahUnayakana maneno yako 🤣🤣🤣🤣hivii hamuwezii kuzungumza bila kunigombanishaaa? Hebuu muacheniii shemelaaa akeee.
Watu na mapenzi yao mjiniii, wanatambaaa tyuuh, afu sio shida zao sasa.
😂😂😂😂Soma content vizuri wewe eboo.😀
MamboHuu uzi kwema🐒🐒🐒
Mmegoma kulala 🤣🤣🤣tupo hapa kuona mtu akisuuzwa.
SafiMambo
Unayakana maneno yako
Tena ulisema alishindwa kushuka ndani ya gari haonekanibishaaa




nilisema mie au team pinzani walioonana nae hapo masaki, usinitafutie maneno uduguuuu.



Yaani umebanwa piritoni ni kubwanilisema mie au team pinzani walioonana nae hapo masaki, usinitafutie maneno uduguuuu.
Mie ninukuuu maneno ya wenyewe wahusika,
Niliyajua hayooo??
Nini tena? Dislike za wapi mke wa msomali? 🤣🤣🤣Halafu sisi wengine nyeusi kusema ni nyeupe hatuwezi na nyeupe kusema ni nyeusi tumeshindwa kila mtu aheshimu comment ya mwenzie vinginevyo mta Dislike mpaka mjambe😁😁😁😁
Naona unataka kuchota mafuta kwenye gari iliyoanguka.... yaani unachochea moto kadri uwezavyoUnayakana maneno yako
Tena ulisema alishindwa kushuka ndani ya gari haonekanibishaaa



Hujala ujue..... Umbea tu....Nini tena? Dislike za wapi mke wa msomali? 🤣🤣🤣
Hebu wekeni mambo open basi
Tunataka tupangiane cha kukoment huu uzi kwema😁😁😁Nini tena? Dislike za wapi mke wa msomali? 🤣🤣🤣
Hebu wekeni mambo open basi
Ana kipaji asipuzwe atafika mbali sanaNaona unataka kuchota mafuta kwenye gari iliyoanguka.... yaani unachochea moto kadri uwezavyo![]()
😂😂😂😂😂 nilipewa screenshot yakonilisema mie au team pinzani walioonana nae hapo masaki, usinitafutie maneno uduguuuu.
Mie ninukuuu maneno ya wenyewe wahusika,
Niliyajua hayooo??
😂😂😂😂 Uzi uchangamkeNaona unataka kuchota mafuta kwenye gari iliyoanguka.... yaani unachochea moto kadri uwezavyo![]()