Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,233
- 2,801
Kimsingi hupaswi kulaumiwa kwani maamuzi yako ndio ya mwisho.Weee tangu mwanzo unanikandia tu hasimu hebu nitetee namimi one time basi🤣🤣🤠🤠🤠( Kidding )
Basi sawa mwaego wee endelea kuniponda tu
Kamuanzishia watu8 ama???
🤠🤠🤠!
Uzi unanihuu 100% 🕺🕺🕺🕺🕺🕺
Sahihi, inaonyesha bidada ana mahaba ya kweli lkn mwamba amefeli kidogoHahaha sijawahi kukuponda wala kukutetea kwenye hizi hekaheka zenu, mi nasoma tu ushubwada rafiki yangu najua wanijua...
Kama ni comment yeyote basi kwa mara ya kwanza nasema hivi lawama zote ningezitupia kwa mwamba kwa kuwamiksi wachuchu halafu wachuchu wakajua kabisa kwamba wanamiksiwa...
Sisi wanaume tunapaswa kuwa na busara namna ya kuwahandle ninyi wachuchu, hata kama kuna haja ya kucheat basi hutakiwi kabisa kufanya hivyo na wachuchu wako kujuana...
By the way hujanijibu bado yale matoke yangu na isenene, lini nayapata Mahondaw
😂😂😂Ujue watu8sio vzr kunivunja MbavuBro i told you, soma comments tu mkubwa mwenzangu...
Nyuzi kama hizi huwa ni saka nyoka, watu wanamwaga mafuta ya taa kwenye mashimo, nyoka wanatoka pangoni wote...
Baada ya hapo kila nyoka anayeibuka toka shimoni anakutana na jambia la kichwa...
Hana kosa asee sasa kama mimi nafahamu watu watu 8 umepita na A ukapita na B ukapita na C D E F tena umepita nao waziwaziiii hakuna asiejua still namie najiweka hapohapo shida sio zako mbona !Hahaha sijawahi kukuponda wala kukutetea kwenye hizi hekaheka zenu, mi nasoma tu ushubwada rafiki yangu najua wanijua...
Kama ni comment yeyote basi kwa mara ya kwanza nasema hivi lawama zote ningezitupia kwa mwamba kwa kuwamiksi wachuchu halafu wachuchu wakajua kabisa kwamba wanamiksiwa...
Sisi wanaume tunapaswa kuwa na busara namna ya kuwahandle ninyi wachuchu, hata kama kuna haja ya kucheat basi hutakiwi kabisa kufanya hivyo na wachuchu wako kujuana...
By the way hujanijibu bado yale matoke yangu na isenene, lini nayapata Mahondaw
Dadeki Uzi umenogaAikooo! Hapo kwa D mnatuchanganya wauza silaha🤣Mdogo Depal aliweka taarifa zote na kwamba Smart angesema Su🤣🤣🤣🤣 evidenga zingemwagwa sikuile akawa mtu mzima kustay Calm and the strorm was in fake Calm Kama huamini fufua Hilo kaburi Simu ziite sasa hivi🤣🤣🤣🤣🤣 Moyo ueleee
😂😂😂Ujue watu8sio vzr kunivunja Mbavu
🙌🙌
Weeee hebu rudiakomenti yangu ya kwanza yapili kujibu katika huu Uzi nimeongelea nani!Kimsingi hupaswi kulaumiwa kwani maamuzi yako ndio ya mwisho.
Sema sisi wanadamu huwa hatuzuiliki kuongea.
Lingine wewe ndio unakoleza moto na hizi cheche zinaweza kuleta mlipuko mkuuubwa.
Smart911 nimejifunza ni bonge la mjanja yeye anasoma na kulike tu
Hizi sio Mambo zake uliona wapi smart anarumbana kujibizana!???Hahaha kwani hujaona kuna nyoka mmoja kashakutana na jambia la shingo kapotea baada tu ya mchuchu mkubwa kuibuka na kuanza kukamata uzi wake... shubamitiiii...
😂😂Hadi sasa inaonekana huu ni mwanzo tu wa season 2...
Hana kosa asee sasa kama mimi nafahamu watu watu 8 umepita na A ukapita na B ukapita na C D E F tena umepita nao waziwaziiii hakuna asiejua still namie najiweka hapohapo shida sio zako mbona !
Wanawake tunapenda kuiga kunya kwa tembo acha tuchanike msamba tu!
Kutamani anayopewa fulani kiruuuuuu!
Matoke yote alikula Smart911 asee
Hizi sio Mambo zake uliona wapi smart anarumbana kujibizana!???
Ye anatoa miongozo tu bwana weeeh
Naona naonaHahaha kwani hujaona kuna nyoka mmoja kashakutana na jambia la shingo kapotea baada tu ya mchuchu mkubwa kuibuka na kuanza kukamata uzi wake... shubamitiiii...
Mmerudianaa
Opinions are not fact mkuu upo sawa!Huwezi ona ana kosa kwa sababu wewe upo hoi bin taabani kwenye mahaba kuntu...
Ikitokea nakutana na Smart911 nitamchana ile kishikaji namna ya kuhandle hizi mambo kisela...
Kama alikuwa anagonga wale wachuchu wote (kwa mwanaume inaruhusiwa 😂)halafu hao wachuchu wakaja kukuletea zereu na mwamba hakuwamaindi, huoni hapo jamaa kazingua?
Hata hivyo kwa sasa kama mmeyamaliza it's well and good, lakini wahenga walisema mlamba asali halambi mara moja, mwishoni hujenga mzinga wa asali...
Halafu Smart911 mwamba ujue umekula matoke yangu halafu umekausha...
😂😂😂Mmerudianaa
Mzee hizi codes naona unazijua sio poa, naendelea kufatilia🤣Hahaha kwani hujaona kuna nyoka mmoja kashakutana na jambia la shingo kapotea baada tu ya mchuchu mkubwa kuibuka na kuanza kukamata uzi wake... shubamitiiii...