Nimezipata habari zako, unamuita shemejio sele wa mbosso
Ma mchungaji ulikuwa unakunjwa wapi?? Mambo bambam huku ππππ€£π€£
Comment ya mwanzo nilitaka kuandika hivi ila nikaona nisiende kinyume na flow...
Kitendo cha kurudia tu nomino ya kale, nikajua muda si mrefu tutaanza kupangwa kama zamani...
Anyway kila mtu na ukichaa wake...
Na nimekusagia kweli πππafu ndo nn kusagiana kunguni? Unataka nikose teuzi ktk hii awamu? Wanasiasa sio wa kuwaamini
π€·Taambia nn watuπ€ππ€ͺπ€ͺhehehe wambea wataeka wapi sura zao
ππππsema kweli.
π€£π€£π€£π€£
MwenyekitiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiππI am so thankful for you and the love we share my king
.
Thank you for being my partner in life and for the love you bring to our love.
I am grateful for you every day and for the love that has grown between us Smart911
Am so grateful for your love. Thank you for loving me unconditionally swirrrrrrryyyyy
I am so blessed to have you Smart You are so ameizing so wonderful my bebiiiπ Thank you for loving kimimii
Ailaaavvvvyuuuuuuuuuuuuuuuu smart wanguuuuuuπππ!
Yuko Dunia ipiπ€£Hawa ni kweli na kulikua mpk na mpambano wa kugombania huyo mwanaume.!!
We nawe uko wapi??
Na nimekusagia kweli
Kwann ulimtukana shem yupo km sele??
Hebu nikapate kitchen party pm miye kwa dada angu Madame B
HahahahahaHahaha ukitaka kuenjoy hizi drama za JF, kuwa msomaji tu...
Kuna wakati hadi hadhira huwa zinapangwa kama vikosi vya Hamas, wanashambulia uzi kwa kasi mno...
π€£π€£Ndio maana manywele umerudia nomino ya zamani, kumbe Ndugai karudi mjengoni π
Na mi hata sijui anaishi mars ππYuko Dunia ipiπ€£
ππππ Itabidi niitishe kikao ukaombe msamaha kwa shemudugu ntakubondaaa, usilolijua sawa na usiku wa giza. Niachee nifaidiii ya JF na ya nje ya hapaaa.
Natakiwa kutazamaa tyuuh
π€£π€£
Ulikuwa hujui