Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,524
🤣🤣🤣🤣🤣!
Weee miezi mitatu tutambemenda mtoto weee!
Afu nilivo na damu nzuri wakike wanakua kama waarabuuu😛😁😁😁
Hizi lugha za kitapeli hizi, ndio zinazowafanya wanaume wengi wanasahau walikotoka; mzee wa muongozo shtuka mapema 😀 😀 😀 , usipokuwa makini, unaweza kujikuta una suruali moja tu, fua kauka nikuvae.




!