Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Dogo miyeyusho huyoMadako yako πππππ
Ngoja Kantry aione hii anaweza kuumwa mbavu, nisipewe haki yangu
Dogo miyeyusho huyoMadako yako πππππ
Ngoja Kantry aione hii anaweza kuumwa mbavu, nisipewe haki yangu
Muda wa kunywa dawa umefika, unajua bado hujapona.!! Halafu yameshaisha sisi ndugu hatugombani.! πππWw dogo ni snitch, naamiini hakuna sehemu antonnia amekukosea.
Juzi hapa katoka kukuwish birthday, Ila ww umeamua kufurahisha watu kwa muda mfupi bila kujali urafiki na undugu mlionao wa muda mrefu
Naamini mmeshirikiana mengi, Leo mnaweza tena kuaminiana?
Yameisha chugga man, tulia basi.!Huyu dogo kaamua kufurahisha watu kwa muda mfupi na kuharibu urafiki wa muda mrefu
Kweli umenikumbusha, ngoja nisepeπMuda wa kunywa dawa umefika, unajua bado hujapona.!! Halafu yameshaisha sisi ndugu hatugombani.! πππ
Powa nimeelewa, ngoja nitokeYameisha chugga man, tulia basi.!
Mbona amani imetawala, ww unataka kuharibu
Potezea utawapa watu ya kuongea, tutaanza kukesha kwa vitu vya kijingaDogo miyeyusho huyo
Mxieeeeww Ntakuchapa πππKweli umenikumbusha, ngoja nisepeπ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππ nyooko weee
Nampa kampani ya kufurahi udugu wangu kwa kumrudisha mumewe nyumbani π€£π€£π€£
Nimekuona shogaaπ€£π€£π€£π€£Shogaa kila nikitaka kutoka wananivuta narudi tena ππππ
Dah. Bora sasa mko pamoja na Kantri . shem moyo umefurahi mimi na mwenzangu tutawaalika dinner party weekend hiiMuda wa kunywa dawa umefika, unajua bado hujapona.!! Halafu yameshaisha sisi ndugu hatugombani.!![]()


Shem. Wee mwanamke material. Mi najua hata jitu bazazi kivipi mwanamke anajifunika nalo shuka na linatuliaaa sijui wana asali ganiPotezea utawapa watu ya kuongea, tutaanza kukesha kwa vitu vya kijinga

Yaan full drama na tafrani, πππππWeee kipi kingine iko?? ππππ
Ule uzi kumbe ulikuwa na mambo mengi.!!
Ila wanawake wanamsema huku anawadinya π€£π€£π€£
"Mbona km una laana seleee, aaah seleeeMadako yako πππππ
Ngoja Kantry aione hii anaweza kuumwa mbavu, nisipewe haki yangu
"Mbona km una laana seleee, aaah seleee
Unatafuta lawama seleee, aaah seleee"
watu na selee wao mjinii,




Aimen πDah. Bora sasa mko pamoja na Kantri . shem moyo umefurahi mimi na mwenzangu tutawaalika dinner party weekend hii![]()
ππππ Kila mbabe ana mbabe wake, huyo mi najua jinsi ya kumtulizaShem. Wee mwanamke material. Mi najua hata jitu bazazi kivipi mwanamke anajifunika nalo shuka na linatuliaaa sijui wana asali gani![]()
Shem kama mshenga una suit zako na card ya Pasaka na laazizi wa moyo wako. Alipo Upo kama crdbπ€£Aimen π
Wizzy Countrywide tuna mualiko wa dinner huku, Omulasil ana jambo lake sijui anataka kututambulisha nani kaukamata mtima wake πππππ