Loving you Mahondaw

Nilichoelewa na wengi mmeshindwa kumuelewa antonnia ni je kufanya hivi kosa lipo wapi?

Wakiamua kuachana wameamua wao, wakiamua kurudiana wameamua wao sisi hatupaswi kuhoji sana wala kufatilia sana, ni wao wameamua. Kwa kifupi ni maamuzi yao ambayo sisi hayatuhusu kabisa. Ndio maana anasema mambo yao tuwaachie wenyewe
 
Ni vile wanadamu tunawashwa tu kuongea.
Kiuhalisia sisi haituhusu ni maamuzi yao kurudiana na kuachana.

Tunajua kujipa kazi zisizotuhusu.
 
Dada zako wameporwa mume ww unachekelea?? 🀣🀣🀣🀣
Mawifi nawapambania ila bro wenu anazingua hayupo upande wenu kabisaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…