Huyo mbona mchumba tuu ndio maana mjamzito sasaKuna watu wana moyo!..
Huyu unamdinyaje sasa
Kama wanaume wanaume wanawapa vichaa mimba sembuse huyu ambaye anajua kuogaKuna watu wana moyo!..
Huyu unamdinyaje sasa
Kama wanajichukulia sheria mkononi unashindwaje palipo na lubricants?Kuna watu wana moyo!..
Huyu unamdinyaje sasa
Kwa sisi tunaopenda ndembendembe hii ni ajabu kidogoHuyo mbona mchumba tuu ndio maana mjamzito sasa
Aisee,Mwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Basi huenda tunatofautiana kimtazamo.Kama wanaume wanaume wanawapa vichaa mimba sembuse huyu ambaye anajua kuoga
Sio ngumu tu. Ni makatili.Kuna wanaume wana roho ngumu
Mtazamo wa kingono ndo unakufanya usione huyo ni mwanamke.Basi huenda tunatofautiana kimtazamo.
Sasa huyu unamgeuzaje kwa hivi alivyo
😄🤣Sio ngumu tu. Ni makatili.
Najaribu ku imagine ndo yupo kifuani kwangu ananidekea😁. Ntazimia