Just Nana
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 500
- 1,001
Note; hii Ni story ya kweli kabisa imemkuta one of my close friends, nilimuomba kuipost kwa ahadi ya kuficha utambulisho wake na ameruhusu, kuna la kujifunza hapa. Twende kazi.
Naitwa Bella (sio jina halisi), nikiri kua muumba amenipendelea sana, ni mzuri wa umbo na sura na pia nimetoka familia bora mnooo, nimesoma shule bora tena nje, miaka kadhaa nyuma hapa Tanzania hapakua na hizi English mediums schools kwaio ili mtoto wako apate elimu bora ilikulazimu umpeleke Kenya au South, the best option kwa wazazi wengi wa kitanzania ilikua Kenya, nami niliangukia huko.
Nilisoma primary na secondary Kenya, nikaja Tanzania kufanya degree yangu ya kwanza, nikaenda south Africa for Masters degree , nikapata kazi kwa NGO moja pale South ambayo niliipata kipindi naandika dissertation kwa ajili ya kumaliza Masters yangu.
Nikiri tu life was good, support ya nyumbani ilikua kubwa sana, namshukuru babangu mpenzi alipambana nami ili nifikie malengo yangu, my mom ni wale kinamama wanaopenda amuone binti ake karibu mda wote, yaani ikifika mda wa kusafiri mama hadi analia kabisa, baba hakua na shida wala, pambana unavyoweza nitakusapoti popote ulipo.
Mkasa wangu unaanzia niliporudi Tanzania baada ya graduation ya Masters, niliugua ghafla homa kali mno iliyopelekea kulazwa hospitali moja kubwa tu hapa jijini, nilikua pale kwa takribani siku tatu hivi, mmoja wa madaktari walionihudumia anaitwa Karim (sio jina halisi), alinipa upendo mkubwa sana, si Kama wengine hawakutoa ushirikiano hapana, ila niliona Karim went extra mile, alikua anahakikisha nimepata huduma stahiki, nimekula, nimeoga , nimekunywa dawa kwa wakati, nimechomwa sindano zangu kwa wakati hadi mama akawa ananiuliza kwani huyu nani , huwezi amini huduma zote hizo na hata namba hakuomba daahhhh.
Siku naruhusiwa hospitali Karimu was off duty, aisee , nilikua naomba tu daktari aseme bado sijapona niendelee kubaki niwe namuona Karim, kwa sababu hospitali sio lodge wala hotel, we had to go, tukakusanya virago vyetu hao nyumbani. Sikua na makazi yangu binafsi hapa dar kwaio nikija likizo nilikua nafikia nyumbani.
Zilipita siku kadhaa za kulazimishwa kupumzika wee, kula kulala kurudisha afya, kuboreka kama kote, hiyo siku meamka nikasema hapana acha nikazurure, huyu mama akinuna atajua yeye. Nikampigia mdogo angu wa kiume by then alikua anasoma chuo hapa hapa dar, nikamwambia leo nataka kuzurura nahitaji kampan yake, ila tunaanzia hospitali, dogo akauliza unaumwa tena au? si umetoka huko juzi tu hapa, nikamwambia kuna mtu naenda kumcheck, just drop me please!
Ilikua Kama zari tu maana Ile tunawasili mapokezi na dokta Karim was signing off, nikamkimbilia Kama kichaa, dokta dokta, yaani ni kama ananikumbuka halafu hanikumbuki daaah, nikamkumbusha pale nilikua mgonjwa wake nikamtajia scenario, doooh , kumbe haikua exception bhana, ule ni utaratibu wake jinsi anahandle wagonjwa wake ni vile mi nilikua V.I.P room nikaona labda ni special treatment.
Nikiri tu niliumia sana,nikaona Kama najichoresha, nadhani alijua hilo, to save me from embarrassment ikabidi anitoe pale maana pale macho ya watu yalikua mengi, manesi si unajua walivyo wambea. Mdogo angu akawa anachek kama haelewi ivi, akanifata sister vipi, nikamwambia usijali it's some kind of miss understanding tu usiwaze. Karim akatuomba tumjoin lunch, tukatoka pale hadi canteen ya ile hospitali, hapo uso upo chini yaani daaah, mbona nimejichoresha ivi, mi nilijua ananihudumia vile labda amenipenda kumbe ndio jinsi anafanya kazi zake, yaani hata hanikumbuki pamoja na kujielezea vile daah.
Naitwa Bella (sio jina halisi), nikiri kua muumba amenipendelea sana, ni mzuri wa umbo na sura na pia nimetoka familia bora mnooo, nimesoma shule bora tena nje, miaka kadhaa nyuma hapa Tanzania hapakua na hizi English mediums schools kwaio ili mtoto wako apate elimu bora ilikulazimu umpeleke Kenya au South, the best option kwa wazazi wengi wa kitanzania ilikua Kenya, nami niliangukia huko.
Nilisoma primary na secondary Kenya, nikaja Tanzania kufanya degree yangu ya kwanza, nikaenda south Africa for Masters degree , nikapata kazi kwa NGO moja pale South ambayo niliipata kipindi naandika dissertation kwa ajili ya kumaliza Masters yangu.
Nikiri tu life was good, support ya nyumbani ilikua kubwa sana, namshukuru babangu mpenzi alipambana nami ili nifikie malengo yangu, my mom ni wale kinamama wanaopenda amuone binti ake karibu mda wote, yaani ikifika mda wa kusafiri mama hadi analia kabisa, baba hakua na shida wala, pambana unavyoweza nitakusapoti popote ulipo.
Mkasa wangu unaanzia niliporudi Tanzania baada ya graduation ya Masters, niliugua ghafla homa kali mno iliyopelekea kulazwa hospitali moja kubwa tu hapa jijini, nilikua pale kwa takribani siku tatu hivi, mmoja wa madaktari walionihudumia anaitwa Karim (sio jina halisi), alinipa upendo mkubwa sana, si Kama wengine hawakutoa ushirikiano hapana, ila niliona Karim went extra mile, alikua anahakikisha nimepata huduma stahiki, nimekula, nimeoga , nimekunywa dawa kwa wakati, nimechomwa sindano zangu kwa wakati hadi mama akawa ananiuliza kwani huyu nani , huwezi amini huduma zote hizo na hata namba hakuomba daahhhh.
Siku naruhusiwa hospitali Karimu was off duty, aisee , nilikua naomba tu daktari aseme bado sijapona niendelee kubaki niwe namuona Karim, kwa sababu hospitali sio lodge wala hotel, we had to go, tukakusanya virago vyetu hao nyumbani. Sikua na makazi yangu binafsi hapa dar kwaio nikija likizo nilikua nafikia nyumbani.
Zilipita siku kadhaa za kulazimishwa kupumzika wee, kula kulala kurudisha afya, kuboreka kama kote, hiyo siku meamka nikasema hapana acha nikazurure, huyu mama akinuna atajua yeye. Nikampigia mdogo angu wa kiume by then alikua anasoma chuo hapa hapa dar, nikamwambia leo nataka kuzurura nahitaji kampan yake, ila tunaanzia hospitali, dogo akauliza unaumwa tena au? si umetoka huko juzi tu hapa, nikamwambia kuna mtu naenda kumcheck, just drop me please!
Ilikua Kama zari tu maana Ile tunawasili mapokezi na dokta Karim was signing off, nikamkimbilia Kama kichaa, dokta dokta, yaani ni kama ananikumbuka halafu hanikumbuki daaah, nikamkumbusha pale nilikua mgonjwa wake nikamtajia scenario, doooh , kumbe haikua exception bhana, ule ni utaratibu wake jinsi anahandle wagonjwa wake ni vile mi nilikua V.I.P room nikaona labda ni special treatment.
Nikiri tu niliumia sana,nikaona Kama najichoresha, nadhani alijua hilo, to save me from embarrassment ikabidi anitoe pale maana pale macho ya watu yalikua mengi, manesi si unajua walivyo wambea. Mdogo angu akawa anachek kama haelewi ivi, akanifata sister vipi, nikamwambia usijali it's some kind of miss understanding tu usiwaze. Karim akatuomba tumjoin lunch, tukatoka pale hadi canteen ya ile hospitali, hapo uso upo chini yaani daaah, mbona nimejichoresha ivi, mi nilijua ananihudumia vile labda amenipenda kumbe ndio jinsi anafanya kazi zake, yaani hata hanikumbuki pamoja na kujielezea vile daah.