love connect

love connect

Joined
Jun 29, 2015
Posts
15
Reaction score
9
Habari wanajamvi,

Natarajia kuamia Mtwara mjini kikazi ningependa kupata msichana/mdada anaeishi mMwara awe rafiki just a company ikibidi tuwe wachumba vigezo umri miaka 26-30 elimu yoyote awe mfanyakazi wa taasisi yoyote ya serikali, kabila lolote awe mkristo urefu saizi ya kati.

Kama upo tayari ni PM
 
Unataka just a company au mchumba? Kila la kheri though
 
......kama nilivyosema mwanzo rafiki then mambo mengine yatafuata ila c ya ulazima
 
Kwa hiyo kila utakapohamia kikaz utataka rafiki,be care mtwara wamejaa wa utumishi ni wewe tu lakn...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom