Love bites na karaha zake

I just real like love bites kwa kweli, na huwa sioni kero au aibu kua nazo shingoni, macho ya watu yapo tu hata iweje watayatoa as far as nimeolewa hivyo tendo watakalokua wamefikiria baada ya kutoa macho yao kwangu ndilo litakalokua limefanyika
 
Kama unamtia love bite wakati wa kufika kileleni hiyo mwambie awe anavaa skafu,pia huwa love bite inaleta magonjwa kama kansa
 
Unaonekana kama na vinasaba vya kichaa cha mbwa,sasa kama hazitaki na anapata shida kutazamwa unamng'ata nini? msije na mada za kipuuzi hapa unafanya jambo linamuuzi mtu halafu unatuuliza sisi sasa tufanyeje wakati mhusika mwenyewe anakataa.
 
ukiwa kwenye mtanange kuwa na bigijii nyingi ukitafuta katika mchezo.utasahau
 
Unaonekana kama na vinasaba vya kichaa cha mbwa,sasa kama hazitaki na anapata shida kutazamwa unamng'ata nini? msije na mada za kipuuzi hapa unafanya jambo linamuuzi mtu halafu unatuuliza sisi sasa tufanyeje wakati mhusika mwenyewe anakataa.

Pole sana mkuu, unaonekana kuna tatizo linakusumbua, ni vema ukatulia na kujua unasolve vipi shida zako, ikishindikana omba msaada wa kimawazo kwa watu wanaokuzunguka, hii style uliokuja nao kwenye huu uzi sio ya kawaida, kitu kingine sijui kama ulilazimishwa kuchangia kwenye huu uzi, pole sana kama huu uzi umekukera, uwe na siku njema.
 
I just real like love bites kwa kweli, na huwa sioni kero au aibu kua nazo shingoni, macho ya watu yapo tu hata iweje watayatoa as far as nimeolewa hivyo tendo watakalokua wamefikiria baada ya kutoa macho yao kwangu ndilo litakalokua limefanyika

Heheh kila mtu na ugonjwa wake, by the way nimependa unavyojiamini hasa hapo uliposema "sioni kero au aibu kua nazo shingoni"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…