Love bite - black chocolate

Heheheheee wakija useme nao mwenyewe maana sijawataja kabisaaa, la ujiandae kurudi gerezani na huko ndo utafikisha salamu zangu kwa Silas maana siku zote naona unakaa nazo tuu huzifikishi.πŸ˜›

Haha hawana noma, bado wanashangaa mjini. Again, simjui any Silas.
 

Hahaha hahaha mchezo hauhitaji hasira aiseeeeee hahaha
 
"Kulipokucha bidada akazima simu maana alihisi jamaa angempigia na angerudi kumnyonya damu" HAHAHAHAHAHA
 
nimecheka kwa nguvu sana jamani alikuwa kawa vampire ghafla?
 
Usijali sababu mtu hata awe mweusi vipi lakini mapajani na matakono huwa pana unafuu,mimi ndio huwapiga mihuri wanawake sehemu hizo,.
 

Ha ha ha, kabanga anaweza kusema, "Sawa...!" Kamaliza hapo.
 
Hata mie sijui naona mashokolo mageni tuu ngoja wenye uzoefu nayo watakueleza inawekwaje khaaa ila uw na tahadhari usijepatwa na kesi ya kutaka kuua bila kukusudia hahahahaaa
ahahaha,bite ukitafsiri kiswahili maana yake si kung'ata,bas me nadhani nikimuachia mtu alama za meno ntakuwa nimefanikiwa.kuna jamaa yangu nilikuwa nae somewhere tukakutana na marafiki wa manzi ake wale wadada wakaniambia "sasa na wewe (jina langu) ndo nn kumng'ata mwenzako" me sikujua kinachoendelea ila nikajiongeza nikasema "bwana huyu alinikaba ikabid nimang'ate ili aniachie" wakasema "na nyie mna michezo ya kitoto"tukacheka na kuzuga mada ikaisha,badae jamaa/rafiki yangu akaniambia "daa umecheza kama pele unajua juz kati nilikutana nao wakaniona na love bite shingoni wakaniuliza nimeipataje nikasema wewe(yani mimi) umening'ata" ningekana kama sikumng'ata bas wangejua rafiki yao anasalitiwa kitu ambacho ni kweli.
 
maliza balehe kwanza ndiyo uje hapa!
acha zako wewe,kwani kuweza kuweka hyo love bite ndo kiashirio cha kumaliza balehe? kuna watu kibao hawajui hyo love bite nini na wengine wameoa,btw hzi mambo sisi tunaiga tuu toka kwa tamaduni za magharibi so kama wewe unaona kuweka love bite ndo kupevuka au kukomaa na kukua bas nakuweka kwenye kundi la watumwa wa kifikra.
 
Saluni wanawake wengi wanaenda kujifunza upuuzi!naona kama mtoa mada nae anatamani kung'atwa na hajawahi.

That's what came in your mind.............. there is no way to change it neither to clear the doubt.....

Up to you bro!
 
Haya mambo ya kulambana kama chatu ni hatari sana. Mwenzako kapaka ma-lotion yake na mazagazaga mengine then we unakuja kutia ufundi wako.
Ukipata kansa ya koo unataka uhurumiwe...

wanasemaga ukizama kwenye ulimwengu wa mapenzi, hata mtu aje akupe taarifa kuwa mzazi wako anaumwa kalazwa mahututi hustuki husikii wala huelewi sasa sijui kama akili ikishindwa kung'amua hayo, itaweza kuwaza kuwa mtarajiwa mnyonywa kapaka nini eneo nyonywa.............πŸ™„πŸ˜•
 

Duuuh kumbe hizi love bite ni hatari kwa mchepuko eeeh, maana ikionekana na watu huku wanajua mwenyemali hajakung'ata basi habari inajulikana kuwa umepita mchepuko heheheee. Ni sheeeedaaaarrr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…