Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,034
- 6,038
Then kwanini uumie na kuanza kunibully hata hunifahamu,inaonesha una stress huna pa kuzitolea.aliyekwambia 30 ni stress nani???30 ni stress kama huna maisha.gera out here


Nilijua tu hili neno stress utalisema mwenyewe bila mimi kulisema. Na wala sitalirudia tena kulitaja.
