Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,881
- 38,506
haya msomi.
Chochote wanadamu anachofanya au kusema kilishasemwa au kufaywa na watu wengine aidha unawajua au usiwajue bt kilishafanywa au kusemwa cc so we are all plagiarism coz thre is nothing new under the sun ccStop plagiarism nigga!!
Ndio nini hiki umeandikaChochote wanadamu anachofanya au kusema kilishasemwa au kufaywa na watu wengine aidha unawajua au usiwajue bt kilishafanywa au kusemwa cc so we are all plagiarism coz thre is nothing new under the sun cc
pouwa Miss Google mm nilipo hakuna Google kuna BaiduNdio nini hiki umeandika
Ndio nini hiki umeandika
Huna lolote.....Unaonaje ungeanzisha thread yako?
Mdada
26 yrs
Masters holder
Tall 179 cm
73 kg currently
Mweupe wa kawaida
Mwajiriwa
Christian
Beautiful with brain
Mwanaume awe
From degree kuendelea
Mrefu kama mimi
Awe mfanyakazi/mwajiriwa/mfanyabiashara
Christian
Age from 30-45
Whether ana mtoto au la ila asiwe na uhusiano na baby moma wake
Kama tutaamua kuwa wapenzi aniruhusu niendelee na Phd baada ya mudaa fulani as i have planned, kama ni Sponsor i promise sitakucheat .
Nb: Kama huna hivyo vigezo plz usije pm, nenda kwa wenye vigezo kama unavyotaka wewe. Kupanga ni kuchagua!!!
Nawasilisha
...we can make a childTogethèr
yapo ila umeyaandika kisomi!!Please relax kama huna vigezo, mambo ya hela umeyasema ww hayapo kwenye post yangu.
utabakia huna mume nenda ukaolewe na elimu yako, hapa hakuna cha sponser wala partner!!Tanzanian
sawa kabisaHiyo formula ya lazima kupata mtu chuoni au kazini ni ya mwaka gani?
Aje pm au ww ndo uende pm!!!!Njoo pm kila kitu ninacho