Antoinette
Member
- Dec 26, 2016
- 55
- 73
- Thread starter
- #101
Narrow minded!Hun lolote inaonekana masters yako ni ya kulala chali..
Narrow minded!Hun lolote inaonekana masters yako ni ya kulala chali..
Mpango wa asili wa Mungu si wa vile unataka mdg angu, iyo ni akili yako unakudanganya na utapata kile unataka ispokuwa matatizo tu na masters yako ya ujinga.Narrow minded!
Endelea kusubiri vigezo vipungue.Dah.... Mdogo mdogo...vigezo na masharti vitaanza kupungua...baada ya wapita njia kuzidi... Baadaye kutakuja kuasili mtoto.... Why..... Mnavunja Kanuni za asili kabisa
Masters yangu ya ujinga wewe inakuuma nini? Kwani nimekuomba ajira?Mpango wa asili wa Mungu si wa vile unataka mdg angu, iyo ni akili yako unakudanganya na utapata kile unataka ispokuwa matatizo tu na masters yako ya ujinga.
Ndio najua na moja yenye utata ni pamoja na masters yako na kama utafanikiwa kupata PhD itakuwa na utata pia kama unatafuta vyeti vya PhD sawa lakini kichwani utakuwa tabulasa mtu yeyote msomi si kuwa na vyeti tunataka tuone usomi wako ktk utendanji wa field uliyosoma na ndo maana kuna kitu kinaitwa Experience aiwezeni mtu ana masters lakini ujawai kuifanyia kazi sehemu yeyote ww utakuwa unamiliki vyeti tu heshima ya kile ulichosomea ni uwezo wa kujua vizuri kile ulichosomea kwa vitendo si kuwa na vyeti tu na sehemu yeyote wanayotangaza kazi kwa elimu ya kiwango cha masters na phD ni lazima watake mtu mwenye ExperienceUnajua maana/sababu ya Phd zenye Utata?
Unaonaje ungeanzisha thread yako?Ndio najua na moja yenye utata ni pamoja na masters yako na kama utafanikiwa kupata PhD itakuwa na utata pia kama unatafuta vyeti vya PhD sawa lakini kichwani utakuwa tabulasa mtu yeyote msomi si kuwa na vyeti tunataka tuone usomi wako ktk utendanji wa field uliyosoma na maana kuna kitu kinaitwa Experience aiwezeni mtu ana masters lakini ujawai kuifanyia kazi sehemu yeyote ww utakuwa unamiliki vyeti tu heshima ya kile ulichosomea ni uwezo wa kujua vizuri kile ulichosomea kwa vitendo si kuwa na vyeti tu na sehemu yeyote wanayotangaza kazi kwa elimu ya kiwango cha masters na phD ni lazima watake mtu mwenye Experience
Pia unaweza kusoma kwa kutokutegemea kuajiriwa sawa lakini kuto kuajiriwa hakuondoi thamani ya masters na ww kuwa na masters with zero Experience ni sawa na dereva mwenye leseni lakini hajawai hata kuendesha gari then akajitamba kuwa ana class C ya udereva
Pia nakutakia mafanikio mema ktk mkeka wako maana option uliyotumia ya kutafuta mwenza mtandaoni ni option ya mwisho ktk utafutaji mweza so ni kama unabet ndo maana nakuombea mkeka wako usichanike maana ktk kubet unaweza mpiga muhidi au muhindi kukupiga wewe
Sponsor ni given/a mustWanawake Mungu anatuona. Umesoma, una kazi yako, afya yako, bado unataka sponsor.
Dah.... Labda ushushe age iwe 21 hiviEndelea kusubiri vigezo vipungue.
At 26, the age clock is already ticking.Sponsor ni given/a must
Hahahahahha sister nimejibu swali uliloniuliza na pia msomi aliyesoma kweli na kuelimika awezi kupanic pale watu wanapo mchallenge kidogo ..... ondoa kigezo cha elimu weka kigezo cha kumiliki vyeti tu,nije PM na vyeti vyangu vya Zoom college maana naona soon utakuja na thread za ..I hate love ,,bla bla bla bla bla......hatutaki kusikia .Unaonaje ungeanzisha thread yako?
Sasa hapo umenichallenge nini sasa, na wala hakuna ulichojibu i just ignored you!!!Hahahahahha sister nimejibu swali uliloniuliza na pia msomi aliyesoma kweli na kuelimika awezi kupanic pale watu wanapo mchallenge kidogo ..... ondoa kigezo cha elimu weka kigezo cha kumiliki vyeti tu,nije PM na vyeti vyangu vya Zoom college maana naona soon utakuja na thread za ..I hate love ,,bla bla bla bla bla......hatutaki kusikia .
Asante kwa ushauriAt 26, the age clock is already ticking.
If u ever plan to be a Mom, this is the right time to really focus on that.
Hahahahahaa being lonely is like a storm with no rain, crying without tears.Sasa hapo umenichallenge nini sasa, na wala hakuna ulichojibu i just ignored you!!!
Not all boys are Men!Hahahahahaa being lonely is like a storm with no rain, crying without tears.
No man stands so straight as when he stoops to help a boy.Not all boys are Men!
Naona umeenda kucopy google vya Pythagoras sasa mbona huja m-citeNo man stands so straight as when he stoops to help a boy.
Akili yako ndo inajua google tu ndo vitu vyote vinapatikana ?? je tungekuwa china ambapo hakuna google ungesema nimetoa wapi???? wake up ccNaona umeenda kucopy google vya Pythagoras sasa mbona huja m-cite
Stop plagiarism nigga!!Akili yako ndo inajua google tu ndo vitu vyote vinapatikana ?? wake up cc