masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,678
- 12,350
- Thread starter
- #21
Kuwashwa ni tatizo - Ugonjwa....unatakiwa upate matibabu.
Hiyo Nta haiwezi kutoka nje vingenevyo uwe unaumwa.
Vinginevyo ukijenga tabia ya kulichokoa litakuwa linawasha kila mara halafu utakuwa unalikuna mwishowe utajikuta unafurahi na kucheka kicheko kinachotia shaka kama cha Huyu bwana aloletwa na masai dada.
hahahahahha mpaka unajikunja kwa utamu
Last edited by a moderator: