mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,117
MS naona kiswahili kinakupiga chenga maana Neno kutambua na kutomtambua hujui maana yake, kuna kumkubali, kumtambua, kumjua, kumfahamu, neno kutomtambua ni sahihi kabisa kwani hamkubali yeye kama yeye lakinianalazimishwa na katiba mbovu kumkubali kufuatana na vipengele vya ujanja ujanja vilivyoweka tangu enzi za chama kimoja, ikiwa chini ya chama kimoja, hata ukikataa kumtambua na kumkubali utaenda wapi, sasa imefikia WaTz tuache uoga tukemee mabovu tusije kuwa kama Ivory Coast, lakini inakaribiana na Ivory Cost maana hali halisi inafanana, kiufupi TZ hakuna Democrasia kwa katiba hii, ni uhuni tu