Long time kinyama!!

Long time kinyama!!

Mfilisti

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
3,727
Reaction score
19,465
unakumbuka nini ukiona hizi picha

1448564127953.jpg

1448564164616.jpg

1448564201716.jpg
 
Nakumbuka hiki kiatu cha baba
 

Attachments

  • 1448572568320.jpg
    1448572568320.jpg
    13.1 KB · Views: 1,293

Unanikumbusha mbali sana mkuu.

Hiyo picha ya kwanza ni miaka ya 1960. Enzi hizo fasheni yetu ilikuwa suruali za kubana sana kama za vijana wa leo - hiyo aliovaa huhu bwana. Elvis Presley alikuwa ndio habari ya mjini na twist ndio dansi lenyewe. George Mukabi, Edward Masengo, Mwenda Jean Bosco, Frank na dadazake, Salim Abdallah ndio walikuwa wakali wa muziki wa dansi Afrika Mashariki.

Sasa kuhusu hizi suruali za kubana hawa vijana wa siku hizi wana bahati sana. Siku hizo waziri mkuu alikuwa mzee Kawawa. Alitoa amri kuwa tusivae tena hizi suruali za kubana na yeyote ataekutwa amevaa kipimo kilikuwa kupitisha chupa ya soda. Kama chupa haikuweza kuporomoka kutoka kiunoni mpaka chini miguuni hiyo suruali ilitiwa mkasi. Lakini sasa mabebi ndio walikuwa wanatufukuzilia sisi wenye suruali hizo - Ee bwana we, patashika gani hiyo mitaani.

Sasa ikaja miaka ya 70. Hapo tukiwa vyuoni tulitilia hizi bell-bottom (picha ya pili). Staili hiyo nayo ilivuma kipindi kirefu huku tukivaa viatu vya gorofa. Watu wengi waliteguka miguu kwa viatu hivi vikiitwa raizoni (raised-on shoes).

Ushauri: Fasheni ikipitwa na muda usiitupe. Iweke na mjukuu wako anaweza kuja kuitumia kama fasheni mpya kwao.

Asante kwa kunipa fursa ya time-travel back to the past.
 
Unanikumbusha mbali sana mkuu.

Hiyo picha ya kwanza ni miaka ya 1960. Enzi hizo fasheni yetu ilikuwa suruali za kubana sana kama za vijana wa leo - hiyo aliovaa huhu bwana. Elvis Presley alikuwa ndio habari ya mjini na twist ndio dansi lenyewe. George Mukabi, Edward Masengo, Mwenda Jean Bosco, Frank na dadazake, Salim Abdallah ndio walikuwa wakali wa muziki wa dansi Afrika Mashariki.

Sasa kuhusu hizi suruali za kubana hawa vijana wa siku hizi wana bahati sana. Siku hizo waziri mkuu alikuwa mzee Kawawa. Alitoa amri kuwa tusivae tena hizi suruali za kubana na yeyote ataekutwa amevaa kipimo kilikuwa kupitisha chupa ya soda. Kama chupa haikuweza kuporomoka kutoka kiunoni mpaka chini miguuni hiyo suruali ilitiwa mkasi. Lakini sasa mabebi ndio walikuwa wanatufukuzilia sisi wenye suruali hizo - Ee bwana we, patashika gani hiyo mitaani.

Sasa ikaja miaka ya 70. Hapo tukiwa vyuoni tulitilia hizi bell-bottom (picha ya pili). Staili hiyo nayo ilivuma kipindi kirefu huku tukivaa viatu vya gorofa. Watu wengi waliteguka miguu kwa viatu hivi vikiitwa raizoni (raised-on shoes).

Ushauri: Fasheni ikipitwa na muda usiitupe. Iweke na mjukuu wako anaweza kuja kuitumia kama fasheni mpya kwao.

Asante kwa kunipa fursa ya time-travel back to the past.

Umesomeka mzee.
 
Daaah hatariiiii namkumbuka Vasco da Gama

kwan hata yeye alikuwa anavaa hivi? Mbona mm sijawahi kumwona akiwa kwenye mavaz hayo? Labda kavaa huko ethiopia alikoenda
 
Unanikumbusha mbali sana mkuu.

Hiyo picha ya kwanza ni miaka ya 1960. Enzi hizo fasheni yetu ilikuwa suruali za kubana sana kama za vijana wa leo - hiyo aliovaa huhu bwana. Elvis Presley alikuwa ndio habari ya mjini na twist ndio dansi lenyewe. George Mukabi, Edward Masengo, Mwenda Jean Bosco, Frank na dadazake, Salim Abdallah ndio walikuwa wakali wa muziki wa dansi Afrika Mashariki.

Sasa kuhusu hizi suruali za kubana hawa vijana wa siku hizi wana bahati sana. Siku hizo waziri mkuu alikuwa mzee Kawawa. Alitoa amri kuwa tusivae tena hizi suruali za kubana na yeyote ataekutwa amevaa kipimo kilikuwa kupitisha chupa ya soda. Kama chupa haikuweza kuporomoka kutoka kiunoni mpaka chini miguuni hiyo suruali ilitiwa mkasi. Lakini sasa mabebi ndio walikuwa wanatufukuzilia sisi wenye suruali hizo - Ee bwana we, patashika gani hiyo mitaani.

Sasa ikaja miaka ya 70. Hapo tukiwa vyuoni tulitilia hizi bell-bottom (picha ya pili). Staili hiyo nayo ilivuma kipindi kirefu huku tukivaa viatu vya gorofa. Watu wengi waliteguka miguu kwa viatu hivi vikiitwa raizoni (raised-on shoes).

Ushauri: Fasheni ikipitwa na muda usiitupe. Iweke na mjukuu wako anaweza kuja kuitumia kama fasheni mpya kwao.

Asante kwa kunipa fursa ya time-travel back to the past.

duh! Mkuu una miaka mingapi kwasasa? Maana umechimbua vitu ambavyo hata sivijui. Kumbe humu kuna baba zetu eeh
 
kwan hata yeye alikuwa anavaa hivi? Mbona mm sijawahi kumwona akiwa kwenye mavaz hayo? Labda kavaa huko ethiopia alikoenda

Alikuwa anatumia hayo Zaman kipindi hicho mshua ni Mkuu wa district
 
Back
Top Bottom