London will be bombed first in World War Three, Putin ally claims

London will be bombed first in World War Three, Putin ally claims

Kwa kukusaidia hakuna interceptor yoyote inayo weza kudhibiti hypersonic missiles za Urusi au Uchina - hata jeshi la USA inakili ukweli huo kwamba hawana kinga dhidi ya makombora hayo hatarishi.

Hapo hatuja zumgumzia kuhusu aina ya missiles ambazo zina uwezo wa kushambulia Taifa la Amerika kwa kupitia South Pole halafu kwenye anga lote la Latin Amerika yakuja kuhibukia Mexico na kuingia anga la USA na kulisambaratisha taifa hilo,kumbuka interceptors nyingi za USA ziko concentrated Alaska, hawakujuwa kwamba Warusi wanamiliki missiles za kupitia South Pole kushambulia Taifa la Amerika- bottom line is: linapo kuja suala la teknolojia ya uundaji wa missiles hatari Duniani Mrusi hana mpinzani - yeye ni maji marefu sana na Amerika inajuwa vizuri ukweli huo, wewe usione anasita kujingiza moja kwa moja kwenye mgogoro huu wa Ukraine wana sababu za msingi namely wanaogapa ku-confront jeshi la Urusi,wanajuwa mziki wa Warusi sio mchezo.
Naona wewe unafahamu zaidi ya CIA ukiwa hapo buza.🤣
 
Nyuklia ya urusi itafikaje London wakati amezungukwa na kambi za Marekani na NATO kwa ajili ya kufanya interception?
Hayupo duniani binadamu anae kata gogo wa kuzuia kombora la Urusi shida yako una ushabiki mwingi na huna taarifa zozote kuhusu urusi, London ikiungua vita inaishia hapo Urusi haijaanza kujipanga leo na ina wafaham vema adui zake.
Kama anapigana na NATO ukraini na uingereza pamoja na USA wameweka mifumo yao lakini mvua kutoka urusi kama kawaida sasa NUCLEAR itazuiliwa?
 
Nyuklia ya urusi itafikaje London wakati amezungukwa na kambi za Marekani na NATO kwa ajili ya kufanya interception?
Hivi unajua madhara ya nyuklia!?
Kutungua lile kombora unakuwa umenunua kesi. Nani atataka kuangamiza nchi take ili kuiokoa London?
 
Hayupo duniani binadamu anae kata gogo wa kuzuia kombora la Urusi shida yako una ushabiki mwingi na huna taarifa zozote kuhusu urusi, London ikiungua vita inaishia hapo Urusi haijaanza kujipanga leo na ina wafaham vema adui zake.
Kama anapigana na NATO ukraini na uingereza pamoja na USA wameweka mifumo yao lakini mvua kutoka urusi kama kawaida sasa NUCLEAR itazuiliwa?
 

Attachments

  • IMG-20220625-WA0009.jpg
    IMG-20220625-WA0009.jpg
    36.8 KB · Views: 16
Warusi wameshajiandaa Kwa kujenga mahandaki makubwa Kwa hiyo uingereza ni rahisi zaidi kupotea duniani kuliko urusi Kwa sababu ni kakisiwa kadogo wakati urusi ni kubwa Sana.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wamejiandaa kuishi kwenye mapango kama vicheche [emoji38][emoji38], wanajinganya dude la nuclear ni kata funua, hayo mahandaki ndo yatakuwa makaburi yao.
 
Back
Top Bottom