lol! Rubani hahahah...mie nasubiri mwaka kesho watakapoanza kutoa shares ili nichakarike kivyanguvyangu
daahhh Captain na we uajua kupoa kweli loohh..
vipi lakini mzima huko nyanda za juu??
duhh hiyo share sijui kama itatolewa mwakani kweli...
Nyanda za juu mambo si mabaya Rubani, joto limeanza kupungua, vipi huko kinapuliza sana kama mwaka jana au msimu huu kuna ahueni?