Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
hey wadau wa michezo
Je Tanzania tuna mikakati yeyote kwenye olympic za london 2012. I mean kuna kilichobadilika baada ya olymic za bejing
Tujadiliane
Je Tanzania tuna mikakati yeyote kwenye olympic za london 2012. I mean kuna kilichobadilika baada ya olymic za bejing
- Michezo gani tunatarajia kushiriki?
- wananamichezo gani viwango vyao vinawaruhusu kushiriki
- Kuna umuhimu wa kushiriki hata kama kama hatuna washindani ?
Tujadiliane