Wananchi wa Loliondo wamesalitiwa tena. Kwa kipindi hiki ni mbunge wao Saning'o Ole Telele na Mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka. Kuna tetesi kuwa Sendeka alisafirishwa kutoka Arusha kwa gari ya Mwarabu hadi Loliondo na kulala huko akionana na Meja. Inasadikiwa kuwa alishinikiza kuwa ni lazima naye Telele aje ili kelele ziishe na aunge mkono hoja.
Telele yeye aliletwa na gari ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro. Alisiskika akisema kuwa "baada ya kuwatetea wananchi muda mrefu, sasa ni wakti wa kutetea kampuni" yaani ya OBC
Telele yeye aliletwa na gari ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro. Alisiskika akisema kuwa "baada ya kuwatetea wananchi muda mrefu, sasa ni wakti wa kutetea kampuni" yaani ya OBC