LOLIONDO: Wasaliti Wenu hawa hapa

LOLIONDO: Wasaliti Wenu hawa hapa

Wakati mwingine yawezekana yakawa ya kweli, ingawa ushabiki wa vyama vya siasa waweza pia kuwa kichocheo. Haijalishi kujua haki tu, au kujua kama unaonewa, ila pia uchochezi waweza kuongeza moto.
 
badala ya kwenda mbele, tunarudi kule tulikotokea enzi za ukoloni!
 
Mkuu kilichopo kule si airport ni airstrip. Kwa maana hiyo haikuchukua muda kujenga na wala haikujengwa ni natural.
 
Serikali imeshaligoroka!hebu nendeni mkawaeleze wananchi wa Loliondo juu ya msimamo wa chama kuhusu ardhi yao.

Mnapokaa kimya wakati huu mnaleta wasiwasi kuwa na ninyi mpo pamoja na serikali kwenye hili.
 
Tatizo lako unadhani chadema wako interested na kuboresha maisha wa wananchi!

Unafikiri hilo tatizo lingekuwa Manzese wangekaa kimya?
 
Tatizo lako unadhani chadema wako interested na kuboresha maisha wa wananchi!

Unafikiri hilo tatizo lingekuwa Manzese wangekaa kimya?
Kwa hiyo watu wa manzese sio wananchi sio......????? unafikiri kwa kutumia masaburi sio????
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni uongozi. Viongozi ndio wanaowaangusha Watanzania.

Viongozi ni tatizo.
Ila tukumbuke kuwa;
1) loliondo ni eneo la maajabu;
2) watu wake ni wa ajabu;
3) nchi yao ni ya ajabu;
4) maamuzi yao ni ya ajabu;
5) kuendelea kwao ni ajabu;
6) hata uchaguzi ujao utakuwa wa ajabu kwao;
7) na watapata m'bunge wa ajabu; ambae hataweza kuwatetea kama huyu na aliyepita, kwa hiyo
8) wataendelea kuishi maisha ya ajabu; na
9) kuwa na hasira za ajabu
 
Sendeka baada ya kufanya yake akaweka watu ajirushie marisasi mmmmm comedy nyingi nchi hii
 
Back
Top Bottom