Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Ni jana tu usiku alikuwa anachezea Laptop yangu.
Leo nimefika Job,nafungua Yahoo Mail,automatic ika m sign in Yeye (May be bila kujua ali set "Sign in automatic" Option.
Nashawishika Kusoma Mails zake ila Nahis ntaumia Roho.
Should i carry on au nifanye kazi za watu kwanza,maana naweza Data Fastaaa.
Leo nimefika Job,nafungua Yahoo Mail,automatic ika m sign in Yeye (May be bila kujua ali set "Sign in automatic" Option.
Nashawishika Kusoma Mails zake ila Nahis ntaumia Roho.
Should i carry on au nifanye kazi za watu kwanza,maana naweza Data Fastaaa.