Lodges/Guest Houses Dar zafurika

Lodges/Guest Houses Dar zafurika

Haha baada ya kupata kiti moto safi pale jirani kakobe, muda pendwa ukawadia[emoji23][emoji23]
Looks like you were real disappointed mkuu
 
Dar ina wageni wengi mkuu,so maeneo hayo yote yanahudumia ubungo mkoa.Hilo ni jambo zuri kwamba uchumi wa Dar unaendelea kustawi na hautaathirika na corona.Serikali itaendelea kupata mapato yake
Ila alichokuwa amekilenga mtoa mada anakijua mwenyewe[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na janga, Lodges/Guest Houses [emoji536] zinafurika Sana. Imagine jana nimezunguka gesti zaidi ya 9 Sinza kisha Tiptop zipo full.

Stress release mechanism?
Mkuu kuzunguka kote huko mmagestini heri lakini?
 
Back
Top Bottom