Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Duh sikua najua hiliHahaha hahaha hahaha siku ya jumapili wanapata neno la mungu apo Wasafi fm
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh sikua najua hiliHahaha hahaha hahaha siku ya jumapili wanapata neno la mungu apo Wasafi fm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kondomu nazo bei juuDar hamana mwenyeji wote ni wageni hasa wakifika guest house au mahotelini.
Jumapili ijayo jitahidi na wewe ukapate upako wako kutoka kwa baba mchungaji Paulo.Duh sikua najua hili
Jumapili ijayo jitahidi na wewe ukapate upako wako kutoka kwa baba mchungaji Paulo.
Mtoa mada hyo gari hapo hizo plate number unaeza zusha balaa pahali bila kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio uasherati Bali wanasaidiana kwani Maisha yamebana na mahitaji ya kila siku yapo palepale ukizingatia tulio wengi tumefukuzwa au kusimamishwa kazi kwa kisingizio Cha korona!Dar kwa uasherati huwezi amini, nahisi huko nyumbani ni full stress
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu umeona? Yaani kuna watu wanatabia za kike kuliko wanawake walio saluni. Sasa gesti za Dar zikijaa inamhusu nini? Akitaka bwana vijiwe viko vingiNaona ulikwenda kuandika chapchap, sasa make wa mwenye gari hiyo akiiona unadhani nyumbani kutakuwa salama au ulitumwa umtafute huyu? Acha umbeya.
Barakoa? Labda upige chuma-mbigeCha muhimu wateja wavae barakoa
Elewa wewe Mama umeambiwa Sinza+Tiptop. Sio Dar nzima.Dar huezi jaza lodges zote, inategemea na budget yako mzee na labda ulikua unataka short time. Hilo nakataa hata mm mtu wa mkoa
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app