STUKA M1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,279
- 6,848
Wakuu, weekend hii naingia Mjini(Kariakoo).. nitakuwepo kama siku tatu hivi.. nahitaji Lodge Affordable inayo-range bei ya 20,000 - 30,000(Isizidi hapa)
Nahitaji connection zenu wakuu ili nisihangaike maana natarajia kufika jioni sana na nitakuwa nimechoka mno.
Nahitaji connection zenu wakuu ili nisihangaike maana natarajia kufika jioni sana na nitakuwa nimechoka mno.