Locked iPhone: Nimeuziwa mbuzi kwenye gunia

Locked iPhone: Nimeuziwa mbuzi kwenye gunia

Ulii-upgrade kwenda iOS 7? kuna Iphone 4s flani hapa mtaani nahisi ni ya kuibiwa na ni mwezi sasa umefika.

mkubwa niliupgrade na miprogram kibao najua aliyenaye ameiweka tu kopo anahangaika kuifungua au ndo kuuza spare.
Ni black yangu.
 
Wakubwa, nimeuziwa iphone 5S ambayo nashindwa kuitumia kwa sababu ina iCloud lock, na aliyeniuzia sina contact nae tena. Nawezaje kuiondoa? Kama unaweza tafadhali tuwasiliane kwa pm, niko Dar.

Peleka hili tatizo lako jukwaa la matangazo madogo madogo kuna mtu atakusaidia kule lakini lazima uingie gharama.
 
Oooh pole sana, yalishanikuta wala sirudii tena.
Hiyo tupa tu kwa usalama wako. Kama aliekuuzia humfaham

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
mkubwa niliupgrade na miprogram kibao najua aliyenaye ameiweka tu kopo anahangaika kuifungua au ndo kuuza spare.
Ni black yangu.

Ya huku ni Iphone 4s. Na Lock zinatoka kama kawaida.
 
Taratibu kaka. Mbona unawaogopa sana hao tigo ambao hawatulindi kwa lolote?

Hauwezi kui trace kwa vile simu inasema "Locating your iPhone on a map is disabled. Turn on Location Services to enable it." Na hiyo setting haibadilishiki bila kuwa na code, ambayo sina. Sasa watai trace vipi hiyo simu? Na hata kama ingekuwa iko turned on hiyo feature, bado huwezi kui trace kama haijaingia on line. Hiyo iCloud lock ina e-mail address, nimemtumia e-mail kumwambia kuna simu yako hapa, mtu hajibu, jina lenyewe la kijapani sijui kichina, sasa nifanyeje hapa? Najaribu kutafuta solution ya tatizo, simu ndo nishanunua, panicking haitasaidia.

Motherboard ndio engine ya simu, wazo la kubadilisha motherboard ni sawa na kubadilisha engine kwenye gari, utasemaje ni sawa na kubadilisha site mirror? Mzee hebu tulia kidogo kabla huja post unachofikiria ku post. Hapa ni sawa na kuagiza gari ukakuta engine kaput, kufikiria kufunga engine mpya iweje ni wazo baya?

Wengi hapa tumewahi kuagiza magari kwa kutuma mamilioni oversees kwa watu ambao hatuwajui, na magari yakafika, na wengine bahati mbaya wamelizwa. Maishani ni lazima uchukue a leap of faith sometimes. Unachukua risk na tahadhari lakini sometime una boogie step. Kupoteza laki nne tano siwezi kukaa nalia au najilaumu, mwanamme unaamka, unatulia, unaangalia kama kuna tatuzi na unauliza wanaume wenzako vile vile. Kama hakuna unaendelea na maisha, naweza kuuza hii simu kwa spare, LCD yake na housing bei zaidi ya nusu hasara yangu, sasa nusu hasara itaniua? Nini cha ku panick hapa?
kaka, kama ukiamua kuuza kwa nusu hasara niPm au nipigie kwenye namba 0776000001 itanifa kwa spare yangu lcd ndio ishakwenda na maji
 
Kupoteza laki nne tano siwezi kukaa nalia au najilaumu, mwanamme unaamka, unatulia, unaangalia kama kuna tatuzi na unauliza wanaume wenzako vile vile. Kama hakuna unaendelea na maisha, naweza kuuza hii simu kwa spare, LCD yake na housing bei zaidi ya nusu hasara yangu, sasa nusu hasara itaniua? Nini cha ku panick hapa?
  • Yep hili nalo neno. Maisha yapaswa kuendelea.
 
Wakubwa, nimeuziwa iphone 5S ambayo nashindwa kuitumia kwa sababu ina iCloud lock, na aliyeniuzia sina contact nae tena. Nawezaje kuiondoa? Kama unaweza tafadhali tuwasiliane kwa pm, niko Dar.
Karibu ofisini kinondoni studio. 0655003510
 
nenda nayo kariakoo mpigie huyu jamaa atakusaidia sema ujipange ni tsh.200000 kuitoa lock0715-353108 or 0756-144060 kama upo mwanza 0687-387545
 
At the end ,utakuja kamatwa nayo hiyo Iphone.na mbaya mwenye nayo atakapo kuambia kuwa umrudishie bastola yake na hiyo simu anakuachia kama zawadi,ndungu sikiaga tu usemi MTU MMOJA ANAISAIDIA POLISI.Now days Apple products ukiiba lazima ukamatwe.utoweza iunlock na kuitumia labda uchange IMEI nna wajua mafundi wote wa simu hapa Tz,akuna ata mmoja anaeweza badilisha IMEI ya Iphone.
 
mie naitaka hivyo hivyo, nimeagizia yangu lkn imevunjika kioo kwaio kama una wazo la kuiza niPM itanifa kwa spare
mkuu ukifanikiwa kumshawishi huyu jamaa na mie naomba charger...ya kwangu nimenununa charger kama tatu na zote zinadai "charger not certified"...charger ya mwisho imegoma kufanya kaz tangu jana usiku...
 
io7 imei ya simu inakuwa linked na iCloud account kwa hiyo hata ukiingia ndani ya simu inakuwa next to useless. Uza for parts tu hiyo.
 
Back
Top Bottom