Locked iPhone: Nimeuziwa mbuzi kwenye gunia

Locked iPhone: Nimeuziwa mbuzi kwenye gunia

Kwameh

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,161
Wakubwa, nimeuziwa iphone 5S ambayo nashindwa kuitumia kwa sababu ina iCloud lock, na aliyeniuzia sina contact nae tena. Nawezaje kuiondoa? Kama unaweza tafadhali tuwasiliane kwa pm, niko Dar.
 
Hizi ndio shida za kununua vitu vya bei chee!!! Sasa hapo ukichukua bei uliyonunulia na bei ya kuifungua utakuta ziko sawa na mtu aliye nunua mpya dukan!!! Na mbaya zaidi ukute ni ya wizi
....tuwangojee wataalam waje!!
 
Wakubwa, nimeuziwa iphone 5S ambayo nashindwa kuitumia kwa sababu ina iCloud lock, na aliyeniuzia sina contact nae tena. Nawezaje kuiondoa? Kama unaweza tafadhali tuwasiliane kwa pm, niko Dar.

Inawezekana ni ya wizi na Device zote zilizotoka na iOs 7 sidhani kama kuna jinsi ya kuzi cheat (Kuflash) uianze upya bila ya kwanza kuingiza Apple Id iliyokuwa ikitumika mwanzo..!!
Pole ndugu labda kama kuna mwingine mwenye wazo tofauti
 
Wakubwa, nimeuziwa iphone 5S ambayo nashindwa kuitumia kwa sababu ina iCloud lock, na aliyeniuzia sina contact nae tena. Nawezaje kuiondoa? Kama unaweza tafadhali tuwasiliane kwa pm, niko Dar.

ndio mkome kufanya biashara bila risiti
ukitaka kununua kitu fata taratibu zake
 
We kwa kova panakuhusu ngoja waokote maiti cha moto utakiona mmezoea kununua vitu vya wizi umesahau lap top ya dr mvungi
 
Duh. Kwa hiyo hapa hakuna wataalamu wa hii kitu?
 
Hakuna anaeweza ku fungua ios 7 kwa sasa ww kaa nayo mpaka watu waje kuhack hiyo ios 7 ndio itapatkana njia ya kufungua !! Ila kwa sasa hakuna apple walifanya hivyoo ili kuzuia apple device kuuzwa pale ziibiwapo mkuu hilo ni jiwe kaa nalo had apo baadae au na ww umuuzie mtu
 
Duh pole sana ndgu huo mwarobaini kaa nao utakufundisha kuwa "bure ghali"
 
ingekuwa 4S ningehisi ya kwangu maana nimeipoteza mwezi mmoja uliopita.
Majonzi hayajaisha bado.
 
Pole ndugu labda kama kuna mwingine mwenye wazo tofauti
Asante sana.

Wazo tofauti lingine kuna jamaa mmoja ameshauri nibadilishe niweke motherboard nyingine, ambayo nayo pia mtihani kuipata.
 
sio mda mrefu utaona uefuatwa nA Police ushauri wa bure kama ni iPhone ya dili kaka tena bora ukae umeizima kabisa maana watakutrace

Mm kuna rafiki yangu kaauziwa iPad juzi ameishia kunyea debe siku mbili maana walimtrack mpaka wakamkamata uzuri na askari nao wanajua kuwa lazima aliuziwa sio yeye aliyeibia

ushauri wa bure tupa uvunguni mwa kitanda k kabisa kama una watoto na familia maana utawaonesha picha mbaya hao wanao iwapo askari watakuja home kukushika Tanganyika Jerk
 
Asante sana.

Wazo tofauti lingine kuna jamaa mmoja ameshauri nibadilishe niweke motherboard nyingine, ambayo nayo pia mtihani kuipata.

Huo ushauri nahisi kama lingekuwa ni gari linasumbua engine basi angekwambia ubadilishe side mirror....!!
 
Wakubwa, nimeuziwa iphone 5S ambayo nashindwa kuitumia kwa sababu ina iCloud lock, na aliyeniuzia sina contact nae tena. Nawezaje kuiondoa? Kama unaweza tafadhali tuwasiliane kwa pm, niko Dar.

mie naitaka hivyo hivyo, nimeagizia yangu lkn imevunjika kioo kwaio kama una wazo la kuiza niPM itanifa kwa spare
 
ingekuwa 4S ningehisi ya kwangu maana nimeipoteza mwezi mmoja uliopita.
Majonzi hayajaisha bado.

Ulii-upgrade kwenda iOS 7? kuna Iphone 4s flani hapa mtaani nahisi ni ya kuibiwa na ni mwezi sasa umefika.
 
kweli iPhone ziko complicated sana tofauti na other devices
 
Hivi bado watu wananujua iphones hehehehe😝
Simu hizi kubwa lazima ununue zikiwa mpya huwa zinakuwa traceable haraka sana. Kweli uza kama spare parts kama unadhani ni ya wizi amawasha jamaa aje kuichukua tu c yake.

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
sio mda mrefu utaona uefuatwa nA Police ushauri wa bure kama ni iPhone ya dili kaka tena bora ukae umeizima kabisa maana watakutrace

Mm kuna rafiki yangu kaauziwa iPad juzi ameishia kunyea debe siku mbili maana walimtrack mpaka wakamkamata uzuri na askari nao wanajua kuwa lazima liuziwa sio yeye aliyeibiwa
Taratibu kaka. Mbona unawaogopa sana hao tigo ambao hawatulindi kwa lolote?

Hauwezi kui trace kwa vile simu inasema "Locating your iPhone on a map is disabled. Turn on Location Services to enable it." Na hiyo setting haibadilishiki bila kuwa na code, ambayo sina. Sasa watai trace vipi hiyo simu? Na hata kama ingekuwa iko turned on hiyo feature, bado huwezi kui trace kama haijaingia on line. Hiyo iCloud lock ina e-mail address, nimemtumia e-mail kumwambia kuna simu yako hapa, mtu hajibu, jina lenyewe la kijapani sijui kichina, sasa nifanyeje hapa? Najaribu kutafuta solution ya tatizo, simu ndo nishanunua, panicking haitasaidia.

Huo ushauri nahisi kama lingekuwa ni gari linasumbua engine basi angekwambia ubadilishe side mirror....!!
Motherboard ndio engine ya simu, wazo la kubadilisha motherboard ni sawa na kubadilisha engine kwenye gari, utasemaje ni sawa na kubadilisha site mirror? Mzee hebu tulia kidogo kabla huja post unachofikiria ku post. Hapa ni sawa na kuagiza gari ukakuta engine kaput, kufikiria kufunga engine mpya iweje ni wazo baya?

Wengi hapa tumewahi kuagiza magari kwa kutuma mamilioni oversees kwa watu ambao hatuwajui, na magari yakafika, na wengine bahati mbaya wamelizwa. Maishani ni lazima uchukue a leap of faith sometimes. Unachukua risk na tahadhari lakini sometime una boogie step. Kupoteza laki nne tano siwezi kukaa nalia au najilaumu, mwanamme unaamka, unatulia, unaangalia kama kuna tatuzi na unauliza wanaume wenzako vile vile. Kama hakuna unaendelea na maisha, naweza kuuza hii simu kwa spare, LCD yake na housing bei zaidi ya nusu hasara yangu, sasa nusu hasara itaniua? Nini cha ku panick hapa?
 
Taratibu kaka. Mbona unawaogopa sana hao tigo ambao hawatulindi kwa lolote?

Hauwezi kui trace kwa vile simu inasema "Locating your iPhone on a map is disabled. Turn on Location Services to enable it." Na hiyo setting haibadilishiki bila kuwa na code, ambayo sina. Sasa watai trace vipi hiyo simu? Na hata kama ingekuwa iko turned on hiyo feature, bado huwezi kui trace kama haijaingia on line. Hiyo iCloud lock ina e-mail address, nimemtumia e-mail kumwambia kuna simu yako hapa, mtu hajibu, jina lenyewe la kijapani sijui kichina, sasa nifanyeje hapa? Najaribu kutafuta solution ya tatizo, simu ndo nishanunua, panicking haitasaidia.

Motherboard ndio engine ya simu, wazo la kubadilisha motherboard ni sawa na kubadilisha engine kwenye gari, utasemaje ni sawa na kubadilisha site mirror? Mzee hebu tulia kidogo kabla huja post unachofikiria ku post. Hapa ni sawa na kuagiza gari ukakuta engine kaput, kufikiria kufunga engine mpya iweje ni wazo baya?

Wengi hapa tumewahi kuagiza magari kwa kutuma mamilioni oversees kwa watu ambao hatuwajui, na magari yakafika, na wengine bahati mbaya wamelizwa. Maishani ni lazima uchukue a leap of faith sometimes. Unachukua risk na tahadhari lakini sometime una boogie step. Kupoteza laki nne tano siwezi kukaa nalia au najilaumu, mwanamme unaamka, unatulia, unaangalia kama kuna tatuzi na unauliza wanaume wenzako vile vile. Kama hakuna unaendelea na maisha, naweza kuuza hii simu kwa spare, LCD yake na housing bei zaidi ya nusu hasara yangu, sasa nusu hasara itaniua? Nini cha ku panick hapa?

We unasena inaleta majina ya kijapan sijui ya kichina!! Hao ndio wabaya mkuu...unawapata CIA na FBI?? usijepelekwa guantanamo bay kwa kesi ya ugaidi???
 
Back
Top Bottom