Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Lodge flani hivi karibu kabisa na Meriwa Hotel, kama unatoka mjini unaelekea kisasa unaipita Senetor Lodge hapo katikati kuna ka Lodge flani hivi tulivu ndio nitakuwa hapo leo,
Nimeshaweka booking na sasa ndio Namfata mtoto Maeneo ya kwao niko kwenye Bajaji(Sina gari wala hela ya Tax),
Soon nitawasili Maeneo yangu ya kujidai nimeshaagiza kitimoto na ndizi za kukaanga zimeshakuwa tayari ni za kuzipitia tu pale karibu na Malaika Pub na kuelekea maeneo,
Huyu demu nimeemuuliza kinywaji Nimeshamchukulia savana zake 4 tu, mimi Niko na Energy drink na maji inatosha,
Kitakachofuata ni Uchakataji mpaka Asubuhi.
Wapi Jijini DODOMA.
Je? Wewe location yako itakuwa wapi Siku ya leo katika mkesha wa kusubiri kusherehekea Happy birthday ya Yesu.
Cc Zero iq
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaweka booking na sasa ndio Namfata mtoto Maeneo ya kwao niko kwenye Bajaji(Sina gari wala hela ya Tax),
Soon nitawasili Maeneo yangu ya kujidai nimeshaagiza kitimoto na ndizi za kukaanga zimeshakuwa tayari ni za kuzipitia tu pale karibu na Malaika Pub na kuelekea maeneo,
Huyu demu nimeemuuliza kinywaji Nimeshamchukulia savana zake 4 tu, mimi Niko na Energy drink na maji inatosha,
Kitakachofuata ni Uchakataji mpaka Asubuhi.
Wapi Jijini DODOMA.
Je? Wewe location yako itakuwa wapi Siku ya leo katika mkesha wa kusubiri kusherehekea Happy birthday ya Yesu.
Cc Zero iq
Sent using Jamii Forums mobile app


