Location yangu siku ya leo

Location yangu siku ya leo

Lodge flani hivi karibu kabisa na Meriwa Hotel, kama unatoka mjini unaelekea kisasa unaipita Senetor Lodge hapo katikati kuna ka Lodge flani hivi tulivu ndio nitakuwa hapo leo,
Nimeshaweka booking na sasa ndio Namfata mtoto Maeneo ya kwao niko kwenye Bajaji(Sina gari wala hela ya Tax),

Soon nitawasili Maeneo yangu ya kujidai nimeshaagiza kitimoto na ndizi za kukaanga zimeshakuwa tayari ni za kuzipitia tu pale karibu na Malaika Pub na kuelekea maeneo,
Huyu demu nimeemuuliza kinywaji Nimeshamchukulia savana zake 4 tu, mimi Niko na Energy drink na maji inatosha,

Kitakachofuata ni Uchakataji mpaka Asubuhi.

Wapi Jijini DODOMA.

Je? Wewe location yako itakuwa wapi Siku ya leo katika mkesha wa kusubiri kusherehekea Happy birthday ya Yesu.


Cc Zero iq

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina wasiwasi hayo macho mda wote yatakuwa na tongotongo kama ya mbwa dume kwa sababu ya kuchakata kipapune cha wadada
 
Lodge flani hivi karibu kabisa na Meriwa Hotel, kama unatoka mjini unaelekea kisasa unaipita Senetor Lodge hapo katikati kuna ka Lodge flani hivi tulivu ndio nitakuwa hapo leo,
Nimeshaweka booking na sasa ndio Namfata mtoto Maeneo ya kwao niko kwenye Bajaji(Sina gari wala hela ya Tax),

Soon nitawasili Maeneo yangu ya kujidai nimeshaagiza kitimoto na ndizi za kukaanga zimeshakuwa tayari ni za kuzipitia tu pale karibu na Malaika Pub na kuelekea maeneo,
Huyu demu nimeemuuliza kinywaji Nimeshamchukulia savana zake 4 tu, mimi Niko na Energy drink na maji inatosha,

Kitakachofuata ni Uchakataji mpaka Asubuhi.

Wapi Jijini DODOMA.

Je? Wewe location yako itakuwa wapi Siku ya leo katika mkesha wa kusubiri kusherehekea Happy birthday ya Yesu.


Cc Zero iq

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilidhani leo ungejuwa busy unachakata viepe kutafuta hela.
 
Kama tulivyoongea kikao cha kufungia mwaka,usituangushe!Na wala usiruhusu timu pinzani kujiangushaangusha ili wapoteze muda.Weye chapa kazi.Hakikisha hadi amesema ..."wekerea kanyauuuuu"...!
 
Back
Top Bottom